Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Mida mida najichetua tu shangazi wananizeesha mie kha!!
Pole mwaya
Weka tu staili za kawaida ila upendeze uzee tupa kule...
Mida mida najichetua tu shangazi wananizeesha mie kha!!
Huku shamba hta hivo huwa navaa ushungi dearKazini hii utakua comfortable kweli mwalimu mwenzangu !!Au nyie wa Mjini huko mko free sana!!??![]()
Ya pili nzuri kweliHiyo ya 2 imekaa ki madame haswaaa.![]()
Yani balaa tupu mdogo Wangu!!Huku shamba hta hivo huwa navaa ushungi dear
Haya dear .Kabisa tena naenda kwa anaejua kusuka Saivi!
Anh nzuriNimeipenda suits tyuuh.
Haya dear .
Utatuonyesha kaphoto utakavyodamshi
Ah nzuri sanaFluffy nailewa na Jah locs![]()
Hahaha coca mimi mwenyewe natamani rhumba kinouma .shouga angu uko serious? Rhumba usawa huu?
Hapana sikushauri.
Humu bila kumwaga vocha siku hizi ni nadra sana kuotea selfie za watu

si useme warudie

Utapendeza nayo dear
Kucha nzuriStrawbella shangazi yani mie hizi ndio mambo zangu Napenda! Sipendelei rangi kabisa!View attachment 2259397View attachment 2259398View attachment 2259399

Asante mamy!Kucha nzuri![]()
Hapana rhumba usisuke. Sikushauri hata.Ni ya kizamani kwani?? Najulia wapi miebasi nitaangalia japo nimeipenda mnoo!!
Haswaaaaah nenda sehemu ambayo msusi ni mjuzi na anajua kuweka vitu. Utatisha mnooo.Ndio shos kama umejua vile!! Ila nitaenda kusuka sehemu ambayo wanajua na kuna hizo mambo
Yan aunt ukipata nafasi ya kumvuruga mtot wa mtu wew mvuruge tu hakuna kumpumzisha Hadi avurugike![]()








Huku wanatuambia tutavuruga wanafunzi ni unafundisha yeye anakodolea tu nywele!!!!






khaaaaah, ko msuke twende kilioni?Sanaaaaaaah.Ya pili nzuri kweli
Ukipata msusi mzuri hapo unatokelezea