Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Ewaaaaaaaahh!! Hapo umenena vyema shangazi!! Haya Nibariki kabla sijaenda kula chako shangazi na Wigelekelo nifanyieni wepesi pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Tufanye mida yetu ilee ya naked..
Ewaaaaaaaahh!! Hapo umenena vyema shangazi!! Haya Nibariki kabla sijaenda kula chako shangazi na Wigelekelo nifanyieni wepesi pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Nataka nikasuke hiiNi ya kizamani kwani?? Najulia wapi miebasi nitaangalia japo nimeipenda mnoo!!
Shangazi mbna umefuta natak nione nikasuke nimvuruge ankowako![]()


Unajua nn bina, tatizo n kichwa na msusi pia.
Kumbuka huyu shouga yuko mazingira sio ya mjini, wasusi wengi ni daraja la kati, ataharibu.
Ndio shos kama umejua vile!! Ila nitaenda kusuka sehemu ambayo wanajua na kuna hizo mamboUnajua nn bina, tatizo n kichwa na msusi pia.
Kumbuka huyu shouga yuko mazingira sio ya mjini, wasusi wengi ni daraja la kati, ataharibu.
Hina rudia hata mara mbili ikolee then super Black afu weka colouless wee zinang'aa vizuri mnoooo!!
Kazini hii utakua comfortable kweli !!Au nyie wa Mjini huko mko free sana!!??🤔🤔
Ndio shangazi ile spesho!!Kumbee wacha nifanye hivyo yaani huwaga nikiona zako natamani kweli....
Ni ile hina ya tubu?
Yan aunt ukipata nafasi ya kumvuruga mtot wa mtu wew mvuruge tu hakuna kumpumzisha Hadi avurugikeHapo umeshamvuruga sasa unataka awe chizi kabisa![]()


Ndio shangazi ile spesho!!
Yan aunt ukipata nafasi ya kumvuruga mtot wa mtu wew mvuruge tu hakuna kumpumzisha Hadi avurugike![]()


Huku wanatuambia tutavuruga wanafunzi ni unafundisha yeye anakodolea tu nywele!!🤣🤣🤣😂!!Mbona nzuri tu
Huku wanatuambia tutavuruga wanafunzi ni unafundisha yeye anakodolea tu nywele!!!!
Utapendeza sana shangazi na rangi yako hio hatare sana!!Sawa..
Hilo pepoKabisaa maana akikuwahi umekwishaa
Na ndio dawa yao kwanza..![]()
Mida mida najichetua tu shangazi wananizeesha mie kha!!Labda ufanye nyeusi tupu usiweke hizo rangi
Ndio mdogo wangu ndiooooooo!!!!!😘😘😘😘Yan aunt ukipata nafasi ya kumvuruga mtot wa mtu wew mvuruge tu hakuna kumpumzisha Hadi avurugike![]()