Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Usije nifia nikapata kesi bure, bado naupenda ugari wa mama yangu





yaan unakutana na hao lenazi, afu unanifananisha na mie? Wee endelea kupambana vi 1St yr visivyojua hata kustua mshipa uti wa mgongo, ndo level na uwezo wako unapoishia, huku kwingine waachie wakali wa hizi kazi.Geuka kidogo banaaaa.Nimebana kimchongoView attachment 2259146View attachment 2259147
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unajitahidi kukuza, ila kubana umeshindwa.Nimebana kimchongoView attachment 2259146View attachment 2259147
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😄😄😄😄yaan unakutana na hao lenazi, afu unanifananisha na mie? Wee endelea kupambana vi 1St yr visivyojua hata kustua mshipa uti wa mgongo, ndo level na uwezo wako unapoishia, huku kwingine waachie wakali wa hizi kazi.
Nchi gani hii? Mbna pako vizuri sana.
Naomba niiwahi Kabla haijafitwaaaaNaomba picha hiyo dea.
Nimeegesha tu Uzi.Unajitahidi kukuza, ila kubana umeshindwa.
Hiyo ni ya voda
Salaam ✋!Salam kwenu
Mic u shougga angu,Naomba niiwahi Kabla haijafitwaaaa
Ooooh hapo sawaa.Nimeegesha tu Uzi.
Nywele bado fupi sana hii kuibana.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ndiyo tunaamka sasa
Miss you more babe!!😘😘Mic u shougga angu,
Kwani huyo mtu nae anakua anatafuta nini sasa Mbona balaa hili shos uwiiiii!!Watu tumeogopa leo, woiiiiih.