Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Visimu vya magendo 😂
Visimu vya magendo 😂
Hakunaga hiyo two way traficNa sisi msitupangie matumizi ya vidudu vyetu, kila mtu atumie cha kwake kwa uhuru. Na sisi tubadili mboga
Kwenye gari kifanye nini? Hii habari yake inaanzia kwenye droo ya office na kinaachwa kwenye droo ya office hadi kesho yake tena.vi simu vya matukio hivyo, ukiwa unarudi home unatupia kwenye toolbox nyumabya gari na haviruhusiwi kutoa mlio wala vibration![]()
Wanyaki wanajali haoMama weeeee
Majaribu hayaaa![]()


😀😀😀 ndio ndio .. haya ndio manenoKwenye gari kifanye nini? Hii habari yake inaanzia kwenye droo ya office na kinaachwa kwenye droo ya office hadi kesho yake tena.
😀😀😀😀🏃🙈
Dah.......Nakusalimia mr vocha au ndio hujanizoea🤣🤣🤣🤣🤣😉??
Huo ni ukorofiMimi ndiyo nataka twende hukohuko![]()
Ugali wa muhogo ni mweupe kidogo. Huu ni wa mahindi umechanganywa kidogo na mtama au ulezi. Ni ugali mzito huu na ukiula unausikia kabisa kuwa umekula kitu kizito. Baada ya hapo ni ama uende shamba ukalime na kama ni usiku basi...![]()


UwiiiiWanyaki wanajali hao
Hebu angalia uone![]()
Visimu vya magendo 😂
Okay dearUwiiii
Hebu kwanza Tinsley![]()
Em mwambie kwa herufi kubwa 😂😂Wanyaki wanajali hao
Hebu angalia uone![]()
Nime likeMkuu wachache wenye nguvu zetu wala hatuongei![]()
Sio kweli. Hiyo ndio simu ninayoitumia zaidi kuliko smart. Smart naweza nikaiacha hata wiki sijaigusa.ndio ndio .. haya ndio maneno
Matendo mates mnajua penye mnaviachaga 🤣🤣Hivi vinabaki ofisini au kwenye gari🤣🤣🤣🤣