Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Vile vitu noma sana! Usiwe Mandingo lakini !!
Unamfahamu Mandingo?
Screenshot_20220609-083444_Google.jpg
 
Navyopendaga hizi mada, hadi mwili unanisisimka hapa.

Mtu usiache Ile asili yako ya ubinadamu at the expense of furaha ya mtu mwingine . Mtu kakushushia kitu kizito, hiyo hamu inatoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatoa tu tena shirikisha kila kitu hadi ubongo...tena hakuna kukataa, ukikataa unachezea!
 
😅😅
Nilihamasika, sema mazingira hayakuruhusu nitoe comment yoyote. Ila huu ni uonevu kwa sie timu ba100
zote ni kazi za mungu cha muhimu utundu tu kwani unaeza mkojoza/ furahisha mwanamke hata kwa kidole tu!
Ukitumia viungo vyako effectively mbona mtafurahia tu sex sio ingiza toa tu kakangu si ndio??
 
Back
Top Bottom