Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hapo kwenye usiku nakazia mpendwaUgali wa muhogo ni mweupe kidogo. Huu ni wa mahindi umechanganywa kidogo na mtama au ulezi. Ni ugali mzito huu na ukiula unausikia kabisa kuwa umekula kitu kizito. Baada ya hapo ni ama uende shamba ukalime na kama ni usiku basi...![]()





!!
