Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,217
Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!😉😘Ewaaaa....💕💕
Vitu tulimiss hivi
Ahsante sana boss lady
Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!😉😘Ewaaaa....💕💕
Vitu tulimiss hivi
Ahsante sana boss lady
Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambiaHahah mimi pia
Rahisi sana mtu kuingia inbox kwako kusoma sms .


.UnakwepekaAh ngumu sana tuache wanaoweza kwa kweli
Mimi ni foodie siwezi kufanya diet kabisa
Wanga haukwepeki kabisa kwa maisha haya ya kitanzania ..maana lazima uangukie huko .
Shukrani mr Vocha mkombozi wetu!😉😘Ewaaaa....💕💕
Vitu tulimiss hivi
Ahsante sana boss lady
😀😀😀 mie hutu ningekuwa natunza ningekuwa nato twingi sanaa.. password kila konaa data una save kwenye simu card au simu yenyeweKazi ikiisha na kenyewe unakatupa.
Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162
Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa.
Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162




Acha nikatume katoto hapo kakaleteBasi utupie sasa hivi kabla sijapeperuka. Weekend ndefu sana
Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu passwordMsg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia.
Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu.

Hapo nilikuwa nasuuza tu mdomo baada ya chai nzitoUmeanza kumuiga aunt Lizzy mdogo wangu
Ah kweliUnakwepeka
Uuuuuh hayaAcha nikatume katoto hapo kakalete
Labda kilaza ndio haifingui 😀😀😀 kana common password kama zote.. dk sifuri nafungua kila kitu 😀😀😀Msg nimezi lock hadi muda mwingine nachoka nakwambia.
Baada ya ku lock msg, mtu hata achukue aende nayo wapi sina hofu.
Ukizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema !Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio.
Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu .
Angalia ya kwako tu kwanza *149*03#Basi mnaotumia voda niambieni basi kifurushi gani cha 5k maana hapa nateseka kila saa naangalia salio.
Naona voda washaanza kunitumia msg sijui jiunge na "Simulizi" mara "mlio" yaani vurugu tu .
Yeah voda wana huo udwanzi sanaUkizubaa unakuta imepungua washakata vihuduma vyao ushenzi!! Jiunge mapema !
Wajinga sana hivi nikitaka kugundua huduma gani nafanyeje??? Nataka nijiondoe aseeeYeah voda wana huo udwanzi sana
Ukitaka isijifunge kama unachati hapo hapo mtu anajibu usiende back. Maana kutoa lock kila saa inatesa.Yani inawahi kujifunga hiyo , kila saa uingize tu password
Hapo unakuwa hauna wasi wasi kabisa maana sms hizi zinaweza kukumbua hivi hivi
Siwezi kukaa bila kitochi ..nimekuwa addicted navyo vibaya popote unakitoa na kuwa huru .