Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,867
🤣 thiogopi 🤭Nimeshaipata kitambo, subiri tu namba mpya iku-call
🤣 thiogopi 🤭Nimeshaipata kitambo, subiri tu namba mpya iku-call
Mama weeeeeRudi kwa kaka angu, tukununulie Samsung latest
Acha na mimi ni selfike, King asante. View attachment 2256123
Nakwambia hadi kasimu kangu kameshtuka kupata vocha kubwa hivo.Umetisha sana[emoji91][emoji91]
Asante Mjep, usisahau kunitag baadae.Hongera sana
Browser na bado inanizinguaUnatumia app au browser 🙄🙄
mungu anawapendaTunaomba neno lako la baraka tu la mie na Nuzulati
PM zenu jamani zimefungwaa.. kuna siku nimekusaka kweli kweli hadi vocha nikazifua yani 😀😀😀😀
😆😆😄😄 aisee ubarikiweHiyo mitandao ya ajabu ajabu hapana kwakweli 😀😀😀😀
Kasimu kako kazuri[emoji7].
NitakushituaAsante Mjep, usisahau kunitag baadae.
vi simu vya matukio hivyo, ukiwa unarudi home unatupia kwenye toolbox nyumabya gari na haviruhusiwi kutoa mlio wala vibration😀😀😀😀Nakwambia hadi kasimu kangu kameshtuka kupata vocha kubwa hivo.
Ukute hii simu inajua nilikuwa namtumia mtu hela mpesa nikajikuta nanunua muda wa maongezi kimakosa[emoji1787]
simu yako imejaa memory.. reflesh na clear baadhi ya vitu vinavyokula memoryBrowser na bado inanizingua
😀😀 kwani hii PM ipo wazi .. geti umeweka bonge ya ulinzi hata ka upenyo kakuchungulia hakapoAu ndio mpaka nirudishe mahondaw mlioimzoea???🤣🤣🤣🤣😉😉😜??
Nakusalimia mr vocha au ndio hujanizoea🤣🤣🤣🤣🤣😉??Nitakushitua
Jiselfishe basi tukuone mrembo
Acha nitafute kifurushi cha elfu 5 nijiunge kwanza kisha nitupie bonge la selfie.Nitakushitua
Jiselfishe basi tukuone mrembo
Itakuja tuNavyopendaga hizi mada, hadi mwili unanisisimka hapa[emoji23][emoji23][emoji23].
Mtu usiache Ile asili yako ya ubinadamu at the expense of furaha ya mtu mwingine . Mtu kakushushia kitu kizito, hiyo hamu inatoka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀 karibu😆😆😄😄 aisee ubarikiwe
Aah hata sina vitu serious nilisha I flash, nika restore , basi tu I think ishachokasimu yako imejaa memory.. reflesh na clear baadhi ya vitu vinavyokula memory