Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
🤣 thiogopi 🤭Nimeshaipata kitambo, subiri tu namba mpya iku-call
🤣 thiogopi 🤭Nimeshaipata kitambo, subiri tu namba mpya iku-call
Mama weeeeeRudi kwa kaka angu, tukununulie Samsung latest
Acha na mimi ni selfike, King asante. View attachment 2256123
Nakwambia hadi kasimu kangu kameshtuka kupata vocha kubwa hivo.Umetisha sana![]()

Asante Mjep, usisahau kunitag baadae.Hongera sana
Browser na bado inanizinguaUnatumia app au browser 🙄🙄
mungu anawapendaTunaomba neno lako la baraka tu la mie na Nuzulati
PM zenu jamani zimefungwaa.. kuna siku nimekusaka kweli kweli hadi vocha nikazifua yani 😀😀😀😀
😆😆😄😄 aisee ubarikiweHiyo mitandao ya ajabu ajabu hapana kwakweli 😀😀😀😀
Kasimu kako kazuri
. NitakushituaAsante Mjep, usisahau kunitag baadae.
vi simu vya matukio hivyo, ukiwa unarudi home unatupia kwenye toolbox nyumabya gari na haviruhusiwi kutoa mlio wala vibration😀😀😀😀Nakwambia hadi kasimu kangu kameshtuka kupata vocha kubwa hivo.
Ukute hii simu inajua nilikuwa namtumia mtu hela mpesa nikajikuta nanunua muda wa maongezi kimakosa![]()
simu yako imejaa memory.. reflesh na clear baadhi ya vitu vinavyokula memoryBrowser na bado inanizingua
😀😀 kwani hii PM ipo wazi .. geti umeweka bonge ya ulinzi hata ka upenyo kakuchungulia hakapoAu ndio mpaka nirudishe mahondaw mlioimzoea???🤣🤣🤣🤣😉😉😜??
Nakusalimia mr vocha au ndio hujanizoea🤣🤣🤣🤣🤣😉??Nitakushitua
Jiselfishe basi tukuone mrembo
Acha nitafute kifurushi cha elfu 5 nijiunge kwanza kisha nitupie bonge la selfie.Nitakushitua
Jiselfishe basi tukuone mrembo
Itakuja tuNavyopendaga hizi mada, hadi mwili unanisisimka hapa.
Mtu usiache Ile asili yako ya ubinadamu at the expense of furaha ya mtu mwingine . Mtu kakushushia kitu kizito, hiyo hamu inatoka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app



😀😀😀😀 karibu😆😆😄😄 aisee ubarikiwe
Aah hata sina vitu serious nilisha I flash, nika restore , basi tu I think ishachokasimu yako imejaa memory.. reflesh na clear baadhi ya vitu vinavyokula memory