Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Navyopendaga hizi mada, hadi mwili unanisisimka hapa.

Mtu usiache Ile asili yako ya ubinadamu at the expense of furaha ya mtu mwingine . Mtu kakushushia kitu kizito, hiyo hamu inatoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shangaa na wewe mpendwa mimi siwezi kufanya pasipo na hisia na nikichukia siwezi kuigiza kabisa labla hasira ziishe sio kanipiga na kitu kizito eti zoezi liendelee😬
 
Hapana. Sicho anachokisema Binti Abiudi kwa sababu mjadala sasa hivi utaelekea kwenye kukandia wanaume na umalaya wetu.

Anachosema Binti Abiudi ni kwamba kwake yeye anaamini kuwa akimnyima hubby wake inaweza kuwa sababu shirikishi ...na falsafa yake ni kuwa hubby wake ni lazima apate haki yake no matter what.

What a beautiful philosophy!
Asante kwa kunielewa
 
Hapana. Sicho anachokisema Binti Abiudi kwa sababu mjadala sasa hivi utaelekea kwenye kukandia wanaume na umalaya wetu.

Anachosema Binti Abiudi ni kwamba kwake yeye anaamini kuwa akimnyima hubby wake inaweza kuwa sababu shirikishi ...na falsafa yake ni kuwa hubby wake ni lazima apate haki yake no matter what.

What a beautiful philosophy!
Mimi ndiyo nataka twende hukohuko😂😂😂
 
Back
Top Bottom