Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo mtumishi...

Wasukuma wameweza kukupatia vocha au wamezingua?

Kama bado njoo PM nikufanyie kimuamala kidogo uweke bando la mwezi mzima

Baada ya hapo uje Misungwi tukuandalie mlo wa uhakika kama ilivyo kawaida yetu Wasukuma...

View attachment 2255363
😂😂hasa kwa style hii nikija mbona nitakuwa bonge na mi nikifumania nitaanza kulia lia na kujitupa chini😂😂😂

Aisee wasukuma wanajitahidi kunijali,mwanza moja hiyo hakuna anaebisha

We muamala nifanyie pm hapa siwezi🏃🏃
 
Kwamba wanaovitembeza huko nje: ni kwa sababu wake zao wamewanyima?.
Hapana. Sicho anachokisema Binti Abiudi kwa sababu mjadala sasa hivi utaelekea kwenye kukandia wanaume na umalaya wetu.

Anachosema Binti Abiudi ni kwamba kwake yeye anaamini kuwa akimnyima hubby wake inaweza kuwa sababu shirikishi ...na falsafa yake ni kuwa hubby wake ni lazima apate haki yake no matter what.

What a beautiful philosophy!
 
Back
Top Bottom