Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Si umeona mwenyeweUkute ni menu ya mtu tatu tu, wasukuma![]()
Ugali tatu hiyo
Mboga ndio draft kama hivyo
Hapo kuna kabeya na nhunda ya maziwa
Pembeni
Halafu unapigwa mzigo masaa tatu mtu hashuki
Mara nne kwa wiki
Hivi utachepuka kweli




