Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mad Max ivi bado tu haung'oa totoz humu kweli tusije ingiliana kwenye mawimbi, maana unapo pita wewe na mshaka napo 😅😅😅😅 unaharibu kabisa
Bro sijui wamejifungia wapi. Au nakosa timing? Ngoja niende beach.

4E0E5009-2C85-4CFA-B583-38884E6A3DD9.jpeg
 
Binti yangu mwema sana...
Mpendeka mno mno...
Inakuwaje unakuwa na birthday
Hata daddy wako sijui?

Anyway, nachukua nafasi hii ili kukuombea kila lililo jema kutoka kwa Mungu wetu mkuu huyu Asiyelinganishwa na cho chote. Barikiwa sana binti. Furaha na amani vikuandame kila uendako. Majaribu, misukosuko na mbinu zote za giza na zikashindwe kwa jina kuu la Yesu. Tena uishi maisha marefu kwa kadri iwezekanavyo na uzao wako wote ukawe wenye hadhi na heshima sasa na hata milele. Amen
daddy wangu yale mawasiliano mengine yaliharibika.unaendeleaje lakini.asante kwa kwa ujumbehuu mzito kutoka kwako daddty wangu kip[enzi.kwa sasa nimebananika sana nikibahatika kuwA FRe NITAKUCHeKI
 
Back
Top Bottom