Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
MbarikiwaUliniona
Tokea mbali
Uliniona Baba tokea mbali
Nikiwa nanuka dhambi
Nikiwa nanuka zinaa
Uliniona
Sikufa kwa madhambi yale
Uliniona Baba...
Tokea mbali...
Mch. Mbarikiwa Mwakipesile What a blessed and anointed servant of The Almighty.
Whenever I am sad or down, his songs are always comforting, consoling and asssuring. Thank you Holy Spirit for the worship
View attachment 2250647


Ndiyo bro. Nyimbo za huyu Mbarikiwa Mwakipesile huwa zinanirudisha kwenye mstari hata niwe na mikwamo ya aina gani. Ukiwa na safari ya kwenda Mbeya nitadandia lift aisee. Natamani sana kuonana naye uso kwa uso. Si kwa mibaraka hii ya bure kupitia tenzi zake.Faza unakula upako tu![]()
Injili Kikosi Kazi kikiwasha moto basi shetani lazima akimbie.Mbarikiwa
Mzee wa injili ngumu
Kikosi kazi![]()
Kabisa Kuna nyimbo tungo zake hua zinafariji mno katika mapito Fulani..usijali ukidondoka bongo mzee wangu nitakua personal driver wakoNdiyo bro. Nyimbo za huyu Mbarikiwa Mwakipesile huwa zinanirudisha kwenye mstari hata niwe na mikwamo ya aina gani. Ukiwa na safari ya kwenda Mbeya nitadandia lift aisee. Natamani sana kuonana naye uso kwa uso. Si kwa mibaraka hii ya bure kupitia tenzi zake.
Ubarikiwe sana


Hbday to u dearTarehe kama ya leo miaka kadhaa iliyopita Chakorii alizaliwa.karibu tusheherekee pamoja

We Sophy ndo unakuja sahiviHbday to u dear
Nipo mkuuDuh
Mr vocha mbona hivyo
Unakuja kimya kimya
Kwema lkn
Duh
Mr vocha mbona hivyo
Unakuja kimya kimya
Kwema lkn
Ooh vipi dearLeo humu pameboa jmn
Mko wapi
cocastic
mahondaw
Heaven Sent
Tinsley
Strawbela
Sophy27
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..
Poa, vipi wewe?Ooh vipi dear
Mambo yanaendaje
Umalaya sio mzuri, ingawa watu wanaona ni fashion na wanaona ujanjaa.Kwani mboa Leo kuna uwepo sana baba mtumishi
Hii mistari sio mchezo jmn,
Tusamehe kwa Leo inatosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..