Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Salama tuPoa, vipi wewe?
Salama tuPoa, vipi wewe?
MawAridi
Niliwamiss jmnOoh vipi dear
Mambo yanaendaje
Miss u moreNimekumiss
Mi hata sijauona huo muonekano mpyaNipo mkuu
Huu muonekano mpya ndo unanitisha hata sikufahamu kama niko selfika, alaf umekuja na sura mpya kibaoo
Ni kweli,Yesu turehemuUmalaya sio mzuri, ingawa watu wanaona ni fashion na wanaona ujanjaa.
Missed you too dearNiliwamiss jmn
Uniombee nikuoeMorning selfikaaa
Haya twendeni kanisani jmn
Unawajua wanawake vizur lknIvi inakuwaje unae jiita mwanaume ( for me huyo sio mwanaume hana tofauti na dada zake au Elton John ), Unakaa unamshumbulia mwanamke na kumtumia mwanamke watu wamshambulie, kumnyima raha, kwanini umfanye mtu mlie lala nae kitanda kimoja awe mnyonge kwani umdhalilishe ? Unapata faida gani kumdhalilisha mwanamke na kumfanye awe mnyonge kisa unajiona mwanaume au unaona unajua udhaifu wakeHuo sio uanaume ni ushoga narudia tena ni shoga ... Mwanaume yoyote harisi hafanyi hayo wanaume Harisi tunawalinda wanamke, tunawaheshimu hatuwafanyi kuwa wanyonge haijalishi kuna nini na kilitokea nini .. Mwanamke ni Mama, Mwanamke ni shamba, mwanamke anaweza kukufungia baraka kamwe usitoboe maisha yako na Mungu akawa hana la kufanya
Kwa undishi wangu unaonaje kwani ? Nawajua au siwajuiUnawajua wanawake vizur lkn
🙂🙂🙂🙂 Geuka utaniona nyumaNa hii mvua,naweka kambi kwa mtakatifu Gonzaga.View attachment 2250813