Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Karibu Usukumani.Mmh
Kazi ipo
Hutajuta Binti Abiudi...
Ila jiandae kunenepa na kufumuka likishundu!




Karibu Usukumani.Mmh
Kazi ipo




Anaogopa doso 🤣🤣😂😂anaogopa kufa![]()
Karibu Usukumani.
Hutajuta Binti Abiudi...
Ila jiandae kunenepa na kufumuka likishundu!![]()


hana shida km mhusika atataka nifumkeKaribu
Bhale ng'wacheyo ehaha bhagwembagaŪnene nalīngika.
Nalinagatogilwe sana Agachūli Chūli, Līng'wanamashishani, Walaga, Lūkalasonda nī linamhala lyabo Līng'wanalūselele.
Abagalū Bashangata, Nīndwa, Pilipili, Ng'wanasanagūla na ganamhala gabo Gang'uchayūlo nalīnadabatogagwa gete.
Bagakindwa Bagalū![]()
Ah shida hapo abaki tu kama hivyo .amekataa
Nimebembeleza mie hamna kitu..
Sijui natoboaje
Hayo ndo maneno sasa...hana shida km mhusika atataka nifumke
Ah parachichiUtakumbuka matoke na maparachichi yetu

Obataja pyee abalengi gosi obamanile/ogobakumbuka
Upate lile lenyewe sasa uuuuh 🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑Ah parachichi![]()
Nahisi hata kamedanganya.. mbona sijaona mkoa Kigoma mie?Kama kagoma muacheni,msimlazimoshe bana,
Ninazo na hizi tuView attachment sw-1653979597-ITAKA JKT.pdfView attachment sw-1653979667-KANEMBWA JKT.pdfView attachment sw-1653979539-BULOMBOLA JKT.pdfHizi pia zimekubali zote tatu Hayupo!!
karibuni Heaven Sent Saint Anne mahondaw Kelsea Lenie Christine1 Depal Chakorii Wigelekelo spidernyoka mzabzab alicia keys Alayna Strawbella mawardat mama kijacho specail Nuzulati
Tinsley
wengine woote View attachment 2246092



Na Kigoma ipo piaNahisi hata kamedanganya.. mbona sijaona mkoa Kigoma mie?
Emu naiomba nithibitishe 😂😂
Sina doc yake, ngoja kuna mtu ntakuombea. Ndiyo aliniambia mtoto wake amepangiwa KigomaEmu naiomba nithibitishe 😂😂
Yan wamtoe mtoto Dar mpaka Kigoma? Katoto kenyewe kale hakajawahi hata kutoka nje ya Dar..