Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Mie tena, sehemu kama hizi huwa nasikia harufu yake hata nikiwa usingizini.Ushafika![]()
Mie tena, sehemu kama hizi huwa nasikia harufu yake hata nikiwa usingizini.Ushafika![]()
Lazima ajulikane hapa hakuna kulala hadi mzizi unakatwa watu waishii kizunguuu 😅😅😅Mie natamani kumjua miss buza tu 🤣🤣🤣🤣🤣!!
Halafu mtu akiingia kwenye anga zako basi uwiii. Hunaga hata huruma yaani.Mie tena, sehemu kama hizi huwa nasikia harufu yake hata nikiwa usingizini.
Nione huruma na wakati napenda amsha amsha yaani. Hayo mambo yananichangamsha sana.Halafu mtu akiingia kwenye anga zako basi uwiii. Hunaga hata huruma yaani.
Salama huko lakini?
Watu washushe selfie kama hivi wakuu, tuone mema na neema za mnyaaz! Madam uko vizuri..Mie maneno siwezi wakifika kwenye ngumi waniite niwatandike za mashoto na vichwa vyakutosha kwanzaView attachment 2246035
Wewe ndio miss buza kwani? Usipigane kwanza tuanze kwa kuchambana.Mie maneno siwezi wakifika kwenye ngumi waniite niwatandike za mashoto na vichwa vyakutosha kwanzaView attachment 2246035
Hapa ulikuwa unacheza kamziki eeh. Weka video tusafishe macho.Mie maneno siwezi wakifika kwenye ngumi waniite niwatandike za mashoto na vichwa vyakutosha kwanzaView attachment 2246035
Powa kabisa aisee...Nione huruma na wakati napenda amsha amsha yaani. Hayo mambo yananichangamsha sana.
Huku kwema SYB, mambo?



Najaribu kubonyeza hapo kwenye play inagoma mkuuView attachment 2246046
Hahahaha!!!
BhageshiShikamoo Mrembo
Shangazi
Mmmhhahahaaaa.....!! Tachi yako itakua na problemee mkuu!
😂😂😂😂😂 khaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mi mwenyewe namtafuta miss Buza afu ukute ni mie na sijijui hata🤣🤣🤣😂😂😂😂!!!!
HatariNdiwoooooooooo!!! Si uliona ile staili lakini!!
Kama hiki kiti kizurii eeehView attachment 2245971

@LenieUmalizie wapi wakati uko busy na ubuyu wa huku
Kale kaPm tatizo akili hana
Cha kumsaidia ni atafute tu kazi ya kumkeep busy ndio aache kutumika na kutegemea mwili ili atimize mahitaji yake.
Ila ulikajibu kisomi, big up kwa hilo babe![]()
Wako poa saaana seeing the kid growing it's amaizing feelingKaribu tena bro. Za kupotea? Joy na mamake hawajambo?