Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaamkaa
Kitanda hutandiki…
Huogi…
Mbio kutumia watu PMs zisizo na kichwa wala miguu.

Sijui kula yako unaitafuta saa ngapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Watu wana stress za maisha shoga, we chezea kufichwa fichwa ka bangi🀣🀣🀣🀣🀣

Kula si ndio tunaitafuta huku mtandaoni, tusipopost tutapata vipi wateja jameni😁

Uwiii _King nisamehe hii ya mwisho🀭🀭🀭
 
Nita 🀜🀜🀜 ya mgongo hadi ulie nianze kukumbeleza
 
Umbeya ume7bisha nisimalize kazi πŸ˜‚πŸ˜‚

Akishindwa atupe CV tumsaidiee, kambuzi kale.. na ilo ndiyo kubwa linalomuumiza anabaki kuhaha pasi na sababu.
Kakija sasa jukwaani!! Ni nyoroo nyingi
Hasiraaa 7bu kalimalizwa uchochoroni 😏😏


Kalikuta file la ubongo wa nyuma limetulia πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila hivi venye leo nimetibukwa!! Pm pasingetosha, tungejikuta tumemwagikia kwenye jukwaaa πŸ€£πŸ˜‚
 
Taratibu kijana

Mjini kuna vya watu

Uambie moyo wako

Na uelewe
Wageni....

Wanakuta yatch ya $ mamilioni...

Kama zile za ma oligarchy wa Putin...

Imepaki tu inaelea bandarini...

Inang'ara na kupendeza sana...

Bila kujiuliza wanaparamia tu...

Wanasahau kwamba ukikiona chaelea.....

Akili mtu wangu akiliii....
 
Njoo nikutulize kichwaa for freee 😁😁😁😁
 
Bana wee
Si nilisikia wanamuita Miss Buza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Wee ule mtiririko wa msg unaona ni wa mtu mwenye akili timamu?
Na venye ako na bichwa kubwa kama la Depal.. ila sasa!! Pumba tupu πŸ—‘
Msg zilikua zimejaa makasiriko, pole yake🀣🀣
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…