Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niweze wapi mie wanijua nitalia na roho yangu tu hakii!!
Sitaki nikufiche na sina unafiki mwayaaa, wee unatafutiwa bifu, yaan wanakuchokonoa ili ujilipue hao wahusika wapate nafas ya kubattle nawee,

Maana kila mbinu inatumika kukuchokoza, wamekukuta hujari wala nn, ko inatafutwa kila angle hadi ujichomeke wakupate, hii selfika wee ukituma picha, lazima baadhi ya watu wahusishe na mtu mwigne, WHY?

Kwann hao wahusika wasije wenyewe hapa? Au wanatafuta kuonesha wee ndo dhaifu? Nakusihii kitu kidogo kitapoteza merits zako hapa jukwaani. Yaan unaona sometimes mada hazihusiki au za jukwaa lingine linaletwa hapa, KWANINI?

Tafakari na uchukue hatua, kuwa makiniii. Mie nimemalizaaaaaaaah
 
Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi

Kiuno nyigu

 
Sitaki nikufiche na sina unafiki mwayaaa, wee unatafutiwa bifu, yaan wanakuchokonoa ili ujilipue hao wahusika wapate nafas ya kubattle nawee,

Maana kila mbinu inatumika kukuchokoza, wamekukuta hujari wala nn, ko inatafutwa kila angle hadi ujichomeke wakupate, hii selfika wee ukituma picha, lazima baadhi ya watu wahusishe na mtu mwigne, WHY?

Kwann hao wahusika wasije wenyewe hapa? Au wanatafuta kuonesha wee ndo dhaifu? Nakusihii kitu kidogo kitapoteza merits zako hapa jukwaani. Yaan unaona sometimes mada hazihusiki au za jukwaa lingine linaletwa hapa, KWANINI?

Tafakari na uchukue hatua, kuwa makiniii. Mie nimemalizaaaaaaaah
Yesu na maria !🙆🙆
!! Mie nimewafanyeje kwani mbona niko zangu bize na selfika tu mie!!!!
Asante kwa kuni alart shos!
 
Sitaki nikufiche na sina unafiki mwayaaa, wee unatafutiwa bifu, yaan wanakuchokonoa ili ujilipue hao wahusika wapate nafas ya kubattle nawee,

Maana kila mbinu inatumika kukuchokoza, wamekukuta hujari wala nn, ko inatafutwa kila angle hadi ujichomeke wakupate, hii selfika wee ukituma picha, lazima baadhi ya watu wahusishe na mtu mwigne, WHY?

Kwann hao wahusika wasije wenyewe hapa? Au wanatafuta kuonesha wee ndo dhaifu? Nakusihii kitu kidogo kitapoteza merits zako hapa jukwaani. Yaan unaona sometimes mada hazihusiki au za jukwaa lingine linaletwa hapa, KWANINI?

Tafakari na uchukue hatua, kuwa makiniii. Mie nimemalizaaaaaaaah
Msiwakuze wapumb.avu na malofa mtu anaetaka kupiganisha ID vs ID huyo kichwani ana makamasi ya covid ... Ebu Shangazi mahondaw tuendelee kufurahia maisha achana na choko choko mama la mamaa 😎😎😎
 
Naomba ile 'Ride With U'😍
Umenikumbusha mbali sana
32A0CF6F-0176-4A65-9D6D-A11D465CC8E4.png
 
Back
Top Bottom