Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukienda hospitali ukapima uzito na urefu ndo wanaweza kukwambia your bmi,, chukua uzito (kg) wako gawanya kwa urefu, wako (m²)
Aah kumbe ulimaanisha hivi!
Okay nilishwahi Pima nikaambiwa sitakiwi kuzidi 63 kg! Kiafya kutokana na hicho kipimo
Ila mi nataka 65
 
Lakini kupungua kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi si nzuri kiafya.
Mkuu hii process ya fasting ni kufanya mwili kutumia source ya energy ingine ambayo ni fats za mwili zilizo zadi,, (ketosis), and it's healthy,, so instead of mwili kutumia glycogen,,, unazokula mwili una shift to lipids ambazo ni excess glycogen stored in the body for future use
 
Back
Top Bottom