Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??
Mi nataka kuongezeka kilo mkuu
 
Back
Top Bottom