Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Vita ya kamanda utaiwezaa hakuna wa kuja kukuamulia mkuu 😅😅😅
Vita ya kamanda utaiwezaa hakuna wa kuja kukuamulia mkuu 😅😅😅
Taki mie offa zako… I love chelsea na Real Madrid.Hahahaha.........Mwakani timu ya Babu inachukua Ubingwa, bora uhamie mapema.
Alafu nina ofa yako ukihamia 🙊
😂😂😂😂😂😂 dah! Basi nimekoma..Ulivyozoom friji la watu, uliona raha eeh?🤣🤣🤣
Vita ya kamanda utaiwezaa hakuna wa kuja kukuamulia mkuu![]()


Mimi nshajitoa kama ntauliwa na niuwaweEbu tuoneTaki mie offa zako… I love chelsea na Real Madrid.
Na hapa nimetupia mzula wa blue 🔥
😅😅😅 haya bwanaaa mie hata kuwepo eneo la tukio sitaki kuwepo
Wazazi walinitunzia then nikaja nikazichukua mwenyewe. Huku uzeeni ilikuwa ni kusema tu "nimefaulu", reports mfukoniUnatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo![]()




Jamani mbona mnamtisha Babu yenu, hii inaonesha Vile wajukuu zangu hamko makini na vijana wenzenu 🤪🤪Unachokitafuta utakipata babu
Najikuta mtu fulani hivi msaidizi wa Malaika vile🤣kinisikia hadi ushike wingu sana yaani.😂😂😂😂 kwahiyo unajikuta nani?
Huko nje unatafuta nini?Jamani mbona mnamtisha Babu yenu, hii inaonesha Vile wajukuu zangu hamko makini na vijana wenzenu 🤪🤪
Sasa nimeandaa utaratibu, likizo mtakapokuja Kijijini kunisalimia mtamkuta Daktari kwaajili ya kuwacheki afya. Asiyetaka sitamchinjia Kuku niliyowahaidi 🤪🤪🤪
Nadhani ukifanya hivyo unaweza kupata abnormal results, since hayo Maji distilled one. Not sure anywaysNaomba kuuliza mana huwa sielew vizuri. Hivi nisipochanganya damu na hayo maji yake nikachanganya na maji ya kawaida haitoi majibu kiufasaha au hata maji ya kawaida ni sawa tu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah niupate wapi picha zinawachanganya tu kwakweli japo sio mweusiWewe ni mshombe shombe![]()
Kipindi hicho hata dalili ya kuja kwenye Dunia huna😬😬😅😅😅😅 thobotoooooooooo... hesabu ndogo ndogo ulikuwa huwezii
Mimi nimetulia na Bibi yenu, saivi tunahesabu Mwaka wa 46 huu niko naye.Huko nje unatafuta nini?
Badala ya kutulia tu na bibi.
Nyie mmemuona madam
🤣Marahabaaaa mdogo wangu!!!Nyie mmemuona madam
😬😬😬😬😬 kaone hata kiswahili ulikuwa una chemechemea tuuu hesabu nakuoneaaa, bila Ashura kukaa mbele yako usingepata hata hiyo F a.k.a FubuKipindi hicho hata dalili ya kuja kwenye Dunia huna😬😬
Umekosa ofa Nono ya Babu yakoTaki mie offa zako… I love chelsea na Real Madrid.
Na hapa nimetupia mzula wa blue 🔥