Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Dada mshepuView attachment 2241070
Evening friends ✋!!
Dada mshepuView attachment 2241070
Evening friends ✋!!
Team ya wazee mie sitaki..Tumejitahidi licha ya kuwa na timu isiyo na consistency. Kutoka kuwa wa 20 baada ya mechi 3 za mwanzo hadi kuwa 5 mwisho wa Ligi 💪💪
Hamia timu ya Babu Mjukuu 🤪🤪
Injiaaa wa mchongooo 🥸🥸🥸Weeee thubutuuuu injinia kabisa wewe🤔🤔🤔
Majukumu baba pasta majukumu mengine!Shangazi huyoo, alafu mbona mapemaa sana shangaziii unalala siku hizi
injinia ni injinia tu baba pasta!!Injiaaa wa mchongooo 🥸🥸🥸
Shangazi majumuu tuu jamani au kamanda mwenyewe 😁😁😁Majukumu baba pasta majukumu mengine!
Umenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". 🤣🤣🤣Tuoneshe mitihani yako sio unatulisha matango😬😬
Ndio majukumu hayo mjomba! 🤣🤣🤣Shangazi majumuu tuu jamani au kamanda mwenyewe 😁😁😁
🖐️🖐️🖐️🖐️View attachment 2241070
Evening friends ✋!!
😁😁 ni chaka hilo ukichoma mpira ndio utajia injia wa michongo walivyo jaaaa 😅😁😅.. Binafsi nilishajitoa kwa hilo kundi sasa hivi nimekuwa raia wa kawaidainjinia ni injinia tu baba pasta!!
mmmmmh! ungenizaliwa mwijaku weweee 😅😅😅
au ndio maana siku ile ukatupia ki washa motooo 🔥🔥🔥🔥 anafaidi mema ya muumbaNdio majukumu hayo mjomba! 🤣🤣🤣
Eeeeeh 😅😅😅😅 ningekuwa naweka makonzi tu mwanao hadi vichwa vingewakaa sawa
Unatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo 😅😅😅Umenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". 🤣🤣🤣
Uzee Dawa, Hata hivyo nimebakiza miaka 3 tu nifike 70 nistaafu nikacheze na wajukuu 🤪🤪🤪Mzee wa mchongo
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu
Sababu za kupima ni nini![]()
😅😅😅😅 thobotoooooooooo... hesabu ndogo ndogo ulikuwa huweziiUnatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo 😅😅😅
Nipe code nipo patrol hii hii njia 😅😅 na defender nyekondoooooMzee wa mchongo
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu
Sababu za kupima ni nini![]()
😂😂😂😂 kwahiyo unajikuta nani?Yaani nikikaa
Nikajirecord
Nikakutumia
Ujue nimekuheshimu sana🤣
Hahahaha.........Mwakani timu ya Babu inachukua Ubingwa, bora uhamie mapema.Team ya wazee mie sitaki..