Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuoneshe mitihani yako sio unatulisha matango😬😬
Umenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". 🤣🤣🤣
 
Umenikumbusha kitu nimecheka sana. Nimetunza reports zangu za shule za tangu primary; siku hiyo nikawaita wadogo zangu; nikawaambia mnaona reports zangu eeh. Kesho watoto wenu wakiwa vilaza sitegemei matusi ya "akili kama za shangazi yako sijui mama ako mkubwa, nitawaonesha wakatafute waliporithi hizo akili zao". 🤣🤣🤣
Unatunza kumbukumbu mimi hata sijui ziko upande gani ila kichwani zilikuwemo 😅😅😅
 
Back
Top Bottom