Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Mtu akiniandikia message kwa ufupi ufupi huwa simjibu akirudi huwa namuambia rudi darasani ujifunze kuandikaUnapoishi na mtu wa kazi vizuri na kumtraet kama ndugu yako!!
View attachment 2241100
Mtu akiniandikia message kwa ufupi ufupi huwa simjibu akirudi huwa namuambia rudi darasani ujifunze kuandikaUnapoishi na mtu wa kazi vizuri na kumtraet kama ndugu yako!!
View attachment 2241100
Huyu hakumaliza la saba baba pasta kalikuja kufanya kazi kakiwa kadogo kakakulia kwangu hadi kakapata mchumba 🤣🤣🤣 ndio akaacha kazi!!Mtu akiniandikia message kwa ufupi ufupi huwa simjibu akirudi huwa namuambia rudi darasani ujifunze kuandika
👺👺👺Nuzulati hayaa nijibia hayoo ukitoboa tuuu unapewa kituuu 😅😅🤔 au nakudhalilishaaaaView attachment 2241074
Kuna wengine wasomi unakuta anaandkia Xaxa na madudu mengine huwa nakasirika 😅😅😅Huyu hakumaliza la saba baba pasta kalikuja kufanya kazi kakiwa kadogo kakakulia kwangu hadi kakapata mchumba 🤣🤣🤣 ndio akaacha kazi!!
kwisha habariii yako 😅😅😅😬
Kuna wengine wasomi unakuta anaandkia Xaxa na madudu mengine huwa nakasirika 😅😅😅
Huwa sijibu na waliforce majibu huwa naambia waandike vizuri kama hawawezi wasiandikie message zao za hovyo hovyoBinafsi Huwa nawa😏😏😏😏😏😏😏!
Hata mchumbaTuoneshe mitihani yako sio unatulisha matango![]()

I saw her somewhere 3 days ago; she has changed her ID.Have you seen my karma ?
Kausha bhasTeam ya wazee mie sitaki..
Kumbe tuliwahi kuwa wachumba mbona mhusika sijui🤷🏼♀️Hata mchumba
Humuamini[emoji848
Wacha niingie insta huko niibe picha nimpost😂😂😂
NotifukesheniUzee Dawa, Hata hivyo nimebakiza miaka 3 tu nifike 70 nistaafu nikacheze na wajukuu
Babu anapima Ili kuwashawishi Wajukuu pia kupima na kujua afya zao




😂😂😂😂 mleteeeWacha niingie insta huko niibe picha nimpost😂😂😂
Nimesubiri sanaNipe code nipo patrol hii hii njiana defender nyekondooooo
Usikae mbali na wasapu status zangu😅😂😂😂😂 mleteee
Mpost…. Watu tukazimie huko