Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Kwa mashambulizi kutoka pande zotee😅😅 alafu kipindi nipo shule nilikuwa midfielder mmoja matataa au basi nilikuwa napendaga ma organic sema nimechoka sasa hivi ningekuwa sijachoka ningeenda kufanya Bsc ya chemistry 🧪 wengine kusoma kumo kwenye damuMwalimu analala na viatu Kivipi tena baba pasta???

