Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Ndio kinini hiko baba pasta???😉😜
au ndio maana siku ile ukatupia ki washa motooo 🔥🔥🔥🔥 anafaidi mema ya muumba
au ndio maana siku ile ukatupia ki washa motooo 🔥🔥🔥🔥 anafaidi mema ya muumba
Mkwe hamna kitu hapa suala letu liko palepale nilikuwa namchangamsha kijana asiwe na stressMpwa. Whati izi zisi?
Ina maana dokta kamuwahi mpwa wangu? Jizazi![]()

Thubutuuuu!!!! Mpo juu mawinguni nyie ni level nyingine baba pasta!!😁😁 ni chaka hilo ukichoma mpira ndio utajia injia wa michongo walivyo jaaaa 😅😁😅.. Binafsi nilishajitoa kwa hilo kundi sasa hivi nimekuwa raia wa kawaida
😅😅😅 kinguo kinacho amsha amshaaNdio kinini hiko baba pasta???😉😜
HahahahaWazazi walinitunzia then nikaja nikazichukua mwenyewe. Huku uzeeni ilikuwa ni kusema tu "nimefaulu", reports mfukoni
Mashangazi tunakoma. Mara mtoto atukanwe makalio ya shangazi ako; akifeli ni akili za shangazi ako khaaa
we si waniona nashinda humu kama mlinzi landa kama ni injia wa selfie 😅😅😅😅 ila huko kwingine mie sipoThubutuuuu!!!! Mpo juu mawinguni nyie ni level nyingine baba pasta!!
Sijaelewa baba pasta!!😅😅😅 kingia kinacho amsha amshaa
Nyie kuna watoto wanakoma jamani; wanakoga matusi hadi basi. DaahNacheka kwa masikitiko hapa🤭!! Kuna mwalimu mmoja yuko resi hatari wakiingia 18 zake anawapaga hadi ya ndugu wa mtoto ya nguoni kabisa tunabaki tu🤭🤭!!🙆🙆
Usicheke aunt junia🤣🤣Hahahaha
Kinguo kinacho amsha masha 😅😅😅 Baba mjeda hata akiwa anaangalia TV mawazo yana badirika ya kulala 😅🔥Sijaelewa baba pasta!!
Awapi uko vizure mjomba full stop.we si waniona nashinda humu kama mlinzi landa kama ni injia wa selfie 😅😅😅😅 ila huko kwingine mie sipo
🤭🤭🤭 hapana !!Kinguo kinacho amsha masha 😅😅😅 Baba mjeda hata akiwa anaangalia TV mawazo yana badirika ya kulala 😅🔥
😉😉😉😉😉🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🤭🤭🤭 hapana !!
Huu ni ukatili kusaikolojia inamuathiri sana mtoto basi tu!! Kuna aproaches nyingi sana za kudili nao sema temper ikiwa juu ndio kujizuia ngumu kidogo!Nyie kuna watoto wanakoma jamani; wanakoga matusi hadi basi. Daah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wapi tena anko hebu rudi hapa 🤣🤣😉😉😉😉😉🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Hakika madam. Ni kama mzazi anakuwa hayupo sawa kisaikolojia; amejaza uchungu mwingi then mtoto ndiyo anakuwa fuko lake la kutemea machungu yake. Ndiyo yale mtoto anaiba Tsh 100, afu mzazi anamchoma moto vidole.Huu ni ukatili kusaikolojia inamuathiri sana mtoto basi tu!! Kuna aproaches nyingi sana za kudili nao sema temper ikiwa juu ndio kujizuia ngumu kidogo!
We live once potii😅😅😅 haya bwanaaa mie hata kuwepo eneo la tukio sitaki kuwepo
The bluesTaki mie offa zako… I love chelsea na Real Madrid.
Na hapa nimetupia mzula wa blue![]()

Narudi Darsafari ya wapi hiyo..
Umefika wapiNarudi Dar