Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Usijali mamy japo kwenye nywele mfumuaji kanikomesha alikuwa anakata uz na kiwembe kanipunguza za usoniWacha wee.
Mimi nasubiri like darsa la lipstick



Usijali mamy japo kwenye nywele mfumuaji kanikomesha alikuwa anakata uz na kiwembe kanipunguza za usoniWacha wee.
Mimi nasubiri like darsa la lipstick



Wee mie usiku kuanzia saa 3 na nusu ndo nakuwepoNilikuita sana shos usiwaze kabisa
Kijana awe na hela,halafu ameokokaacha kabisa.
Ni ndoto za Mabinti walokole kupata watu wa namna hiyo.









hahahaha.kumbe.ndo maana kn kanisa moja naendaga.ok umenifunza kituKijana awe na hela,halafu ameokoka😂😂😂😂😂😂😂acha kabisa.
Ni ndoto za Mabinti walokole kupata watu wa namna hiyo.
Na kwenye mashughuli tuna ma-vibe kupitiliza





na stand jaman, mnaongozan wote had ndan ya bus anapokaa msafiri, mnapunga mikono gari ikiwa inaondoka.Sijawahi kujua km Nina lips nzuri aunt unanipa kakofidence kakuvimba kidogo woii![]()





hebu nioneee.Hapo hakuna cha kusema "subiri kwanza niombe nimsikie RM atasemaje juu yako". Unajiambia tu "Bwana amenionyesha kuwa huyu ndiye"









nyie mbavu cna khaaaah.Muhuburi anasema"Na pesa ni jawabu la mambo yote"hahahaha.kumbe.ndo maana kn kanisa moja naendaga.ok umenifunza kitu
Wacha wee.Hapa najiona millionea nani sijui
Kumbe ni vielfu mbili mbili tu



hahahahahaMuhuburi anasema"Na pesa ni jawabu la mambo yote"
Hakuna mtu hapendi pesa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ni vibukubuku hivyo.Wacha wee.![]()








Sasa ndio ukute kijana ameokoka.hahahahaha

hahahaha.na km hajaokoka na yuko package inakuaje? Hahahaha wadada banaSasa ndio ukute kijana ameokoka.
Wapo wachache sana hao![]()