Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Good morning 👋!!
Screenshot_20220525-203236~2.jpg
 
We acha tu...

Mtu wa karibu sana (42yrs) hapa alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Linauma. Linatulia. Mara anahara. Mara tumbo limejaa gesi...amekuja kwenda hospitali amekuwa diagnosed na terminal liver cancer. Yaani kansa imeshaenea kwenye ini mpaka figo na uti wa mgongo na pancreas. Madaktari hawana la kufanya. Wamemwambia akitoboa miezi mitatu ni bahati...na ndiyo tu kaanza PhD yake ya Economics na ana mtoto wa miezi mitano. Just like that maisha yamebadilika.

Uzuri ni kwamba anamfahamu Yesu na uwezo wake; na ameshasema kuwa hawezi kufa. Ijumaa hii kuna maombi maalum kwa ajili yake kanisani...

Ndo maisha yetu. Leo upo unajiona mzima kabisa na ujana wako. Kesho lo lote laweza kutokea. Hata sijui wasio na tumaini katika Yesu wanaishije katika dunia hii ya shida...

Tuombe sana Mungu Atuongoze - katika nyanja zote za safari yetu katika kasayari haka kazuri
Nimesoma hii post nikajisikia ovyo sana, nilikuwa na hili tatizo la tumbo, nikahisi nina cancer...yani kitu cha kwanza kichwani ilikuwa ni cancer coz aina ya maumivu nikiyokuwa nahisi, ilikuwa sio kawaida..nikapimwa sana..nikaambiwa nipitishiwe kidude fulani kupitia mlango wa nyuma ili waangalie labda utumbo una shida..nikakimbia coz niliona fedheha kupitishiwa kidude makalioni.

Siku moja namueleza mtu akaniambia nijarubu kwanza kutokula maharage halafu tuone. Since then, sijasikia tumbo likiuma..sasa huo woga wa kuhisi nina cancer kumbe huenda ni ulcers, na hata sijajua ni ulcers kweli au kitu gani.

Hakika kufa tutakufa!!
Imeniuma mtu 42yrs ana watoto wadogo anawaachaje, naamini Mungu atatenda..sad sana!
 
Nimesoma hii post nikajisikia ovyo sana, nilikuwa na hili tatizo la tumbo, nikahisi nina cancer...yani kitu cha kwanza kichwani ilikuwa ni cancer coz aina ya maumivu nikiyokuwa nahisi, ilikuwa sio kawaida..nikapimwa sana..nikaambiwa nipitishiwe kidude fulani kupitia mlango wa nyuma ili waangalie labda utumbo una shida..nikakimbia coz niliona fedheha kupitishiwa kidude makalioni.

Siku moja namueleza mtu akaniambia nijarubu kwanza kutokula maharage halafu tuone. Since then, sijasikia tumbo likiuma..sasa huo woga wa kuhisi nina cancer kumbe huenda ni ulcers, na hata sijajua ni ulcers kweli au kitu gani.

Hakika kufa tutakufa!!
Imeniuma mtu 42yrs ana watoto wadogo anawaachaje, naamini Mungu atatenda..sad sana!
Mkuu uliogopa barium enema mbona ni kawaida ungechukua kipimo ujue shida ni nin sabab hapo walikua wanakupima lower GI na kama ni ulcers mara nyingi ni Upper GI

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 

There is a reason why I sing
There is a reason why I praise
There is a reason why I raise my voice
It is because He never fails

I have a reason why I sing
I have a reason why I worship
I have a reason why I raise my hands
It is because He never fails

I have never seen the Lord God fail
No No No
I have never seen the Lord God fail
No No No
I have never seen the Lord God fail
No No No
I have never seen the Lord God fail
No No No

What is it You want from Him
You can get it if You ask
He has the whole world in His hands
He will never let You down
His words cannot fall to the ground
He is Jesus Christ my Lord

There is a reason why I sing
There is a reason why I praise
There is a reason why I bow my knees
It is because He never fails

I have never seen my Jesus fail
No No No
I have never seen the Lord God fail
No No No

Have You ever seen the Lord God fail
No No No No

You can cast your cares on Him
You can abandon yourself on Him
You can abandon Yourself on Him
No No No
I have never seen my Jesus fail
No No No
 
No name on earth can describe Who You are
From eternity past You remain the same forever
In heaven and earth none compares with You
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am

You're the Lion and the Lamb
You are the fire and the water
You are the past and the future
I Am that I Am, I Am that I Am

You are the God of the mountain
You are the God in the valley
The earth is Your footstool
And Yet You live in it
I Am that I Am

😊😊View attachment 2238804
 

Attachments

  • IMG_20220526_102135.jpg
    IMG_20220526_102135.jpg
    137.3 KB · Views: 13
Back
Top Bottom