Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Afu kuna picha nilitaka niwaite na strawbella muizoom kama lile friji la siku Ile; imefutwa bana. Nilicheka kichizi
Aisee nimepitwa ...


Afu kuna picha nilitaka niwaite na strawbella muizoom kama lile friji la siku Ile; imefutwa bana. Nilicheka kichizi


😅😅😅 nitakupa direction mkuu, usitoke hapo njia pandaaa.. akikutazama tuu ndio 🔥🔥🔥🔥 unaweza baki baaa baaa sentensi isikamilike nae alivyo mjeshi unajuwa midomo inavyo zibwa kwa kidole kilisho saafi kimenyooka sio kama panga la fan 😅😅Kwa kweli kwa hizi sifa anazokupa nipo njia panda.
Mkuu hebu nipe maelekezo nini nifanye na mie nipate kuwa shuhuda.😅😅😅 kwani uongo sasaaa mie naelezea uharisia uliopo nikiongeza kambaaa si ndio atakuwa confused pro max
Hebu nambie mkuu huu ni utani wetu wa kila siku ama?😅😅😅 nitakupa direction mkuu, usitoke hapo njia pandaaa.. akikutazama tuu ndio 🔥🔥🔥🔥 unaweza baki baaa baaa sentensi isikamilike nae alivyo mjeshi unajuwa midomo inavyo zibwa kwa kidole kilisho saafi kimenyooka sio kama panga la fan 😅😅
😅😅 karibu kwenye mgahawa wetu wa chai upo karibia na Osterbay police.. weka appointment ya kuonana na Mkurugenzi wa Pesa ndio yeye hapo .. kila kitu kinaweza anzia hapo naamini huto niangusha kuleta ushuhudaMkuu hebu nipe maelekezo nini nifanye na mie nipate kuwa shuhuda.
😁😁 mkuu hi ni real sio utani hata kidogo.. ungekuwa utani ningekuambia ila chukua 💯 % kwamba ni harisiHebu nambie mkuu huu ni utani wetu wa kila siku ama?
Afu sikuscreen-shot sasa. Yaani nimeona tu nikawakumbuka watafiti.Aisee nimepitwa ...![]()
Mkuu ahsante sana 🙏 , nitakuja tujumuike hapo.😅😅 karibu kwenye mgahawa wetu wa chai upo karibia na Osterbay police.. weka appointment ya kuonana na Mkurugenzi wa Pesa ndio yeye hapo .. kila kitu kinaweza anzia hapo naamini huto niangusha kuleta ushuhuda
Nipo hapo kambarage house nimekuja chukua material ya mgahawani 😅😅😅
Afu sikuscreen-shot sasa. Yaani nimeona tu nikawakumbuka watafiti.


Uwe na passport na usiwe na boifrendEyyyyy 😲😲
Vigezo & Masharti....?🤔🤔
Ahsante sana mkuu.
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Nipo hapo kambarage house nimekuja chukua material ya mgahawani 😅😅😅
Sema Tusisahau neno : 😅😅Ahsante sana mkuu.
😅 Huko kunipenda ‘kanza’ kunahusianaje na maandaziHahaa..!!
Na asituambie kitu 'oote'...!!
Nakupendaga tu bure we maandazi.!!