Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
MbembetuleeeeeMiye ni ile ngoma yao ya kujiburuza chini wanayochezaga kwenye harusi. Huwa inanikosha sana. Kwenye harusi ya Kinyaki hunikosi!
MbembetuleeeeeMiye ni ile ngoma yao ya kujiburuza chini wanayochezaga kwenye harusi. Huwa inanikosha sana. Kwenye harusi ya Kinyaki hunikosi!
Vimba aunt junia. Zipo 👌👌👌Sijawahi kujua km Nina lips nzuri aunt unanipa kakofidence kakuvimba kidogo woii![]()
Kuja uchukueNaomba buku
We acha,We acha tu...
Mtu wa karibu sana (42yrs) hapa alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Linauma. Linatulia. Mara anahara. Mara tumbo limejaa gesi...amekuja kwenda hospitali amekuwa diagnosed na terminal liver cancer. Yaani kansa imeshaenea kwenye ini mpaka figo na uti wa mgongo na pancreas. Madaktari hawana la kufanya. Wamemwambia akitoboa miezi mitatu ni bahati...na ndiyo tu kaanza PhD yake ya Economics na ana mtoto wa miezi mitano. Just like that maisha yamebadilika.
Uzuri ni kwamba anamfahamu Yesu na uwezo wake; na ameshasema kuwa hawezi kufa. Ijumaa hii kuna maombi maalum kwa ajili yake kanisani...
Ndo maisha yetu. Leo upo unajiona mzima kabisa na ujana wako. Kesho lo lote laweza kutokea. Hata sijui wasio na tumaini katika Yesu wanaishije katika dunia hii ya shida...
Tuombe sana Mungu Atuongoze - katika nyanja zote za safari yetu katika kasayari haka kazuri![]()
Hela za hivi nazipenda😂Elfumbilionea 😁View attachment 2238981
Kijana awe na hela,halafu ameokoka😂😂😂😂😂😂😂acha kabisa.
Ni ndoto za Mabinti walokole kupata watu wa namna hiyo.
WeweeeHela za hivi nazipenda
Kuna namna najiona nina Hela nyingiiii
😂😂 unakuwa unachomoa mdo mdoHela za hivi nazipenda😂
Kuna namna najiona nina Hela nyingiiii
Kuna namna jicho la upako linashuka juu ya kijana😃
Weuweeee, tukomesheeeeeeee
Hapo hakuna cha kusema "subiri kwanza niombe nimsikie RM atasemaje juu yako". Unajiambia tu "Bwana amenionyesha kuwa huyu ndiye"Kuna namna jicho la upako linashuka juu ya kijana![]()
Kama hivi vibukubuku nilikuwa navyo vingiiii.Weweee
Hapa najiona millionea nani sijui😂😂😂 unakuwa unachomoa mdo mdo
Kumsikiliza Roho tena??Hapo hakuna cha kusema "subiri kwanza niombe nimsikie RM atasemaje juu yako". Unajiambia tu "Bwana amenionyesha kuwa huyu ndiye"
Wacha wee.
Fedheha mkuu!Mkuu uliogopa barium enema mbona ni kawaida ungechukua kipimo ujue shida ni nin sabab hapo walikua wanakupima lower GI na kama ni ulcers mara nyingi ni Upper GI
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kabisaaaa.Kufariji ni talanta tuliyopewa na Mungu
Kumbe una buku kumi tuHela za hivi nazipenda
Kuna namna najiona nina Hela nyingiiii

ukiingia sokoni hata hununui vya kueleweka.KweliiiiiiNasema uongo ndugu yangu Coca?
Miye ni ile ngoma yao ya kujiburuza chini wanayochezaga kwenye harusi. Huwa inanikosha sana. Kwenye harusi ya Kinyaki hunikosi!




ila babuu jaman, nawee huwa una gala gala chini?