Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lilikwanguaga tu karibu na kichwa😂
Ni miaka 10 sasa umepita,,ila hili eneo nikishika ama nikijigonga linasisimka.

Kurudi kama mwanzo ni mtihani sana.
Namuombea huyo dada Mungu amponye.
Japo ndio hivyo hana kipande cha mkono 🥺..hata kingebaki bado hakiwezi kuwa na nguvu kama mwanzo..hapa narefer kwenye kajimkono kangu linivunjikaga miaka 15 iliyopita.
Hayo niliyapita.

Linalonitesa sasa ni kumbukumbu tu za msiba.
...........
Kwanza usinitoe kwenye reli..
Naomba ile picha
Pole sana mkuu.
 
We acha tu...

Mtu wa karibu sana (42yrs) hapa alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Linauma. Linatulia. Mara anahara. Mara tumbo limejaa gesi...amekuja kwenda hospitali amekuwa diagnosed na terminal liver cancer. Yaani kansa imeshaenea kwenye ini mpaka figo na uti wa mgongo na pancreas. Madaktari hawana la kufanya. Wamemwambia akitoboa miezi mitatu ni bahati...na ndiyo tu kaanza PhD yake ya Economics na ana mtoto wa miezi mitano. Just like that maisha yamebadilika.

Uzuri ni kwamba anamfahamu Yesu na uwezo wake; na ameshasema kuwa hawezi kufa. Ijumaa hii kuna maombi maalum kwa ajili yake kanisani...

Ndo maisha yetu. Leo upo unajiona mzima kabisa na ujana wako. Kesho lo lote laweza kutokea. Hata sijui wasio na tumaini katika Yesu wanaishije katika dunia hii ya shida...

Tuombe sana Mungu Atuongoze - katika nyanja zote za safari yetu katika kasayari haka kazuri

Inasikitisha sana sana, una mtoto mdogo kama huyo unaambiwa una cancer unabaki unalia sana, nimependa alivyomtumainia Mungu,ni mfano kwetu, cancer ya ini na kongosho ni death sentence.
He/She has been going through a really tough time, May God help he/she in his/she fight against cancer and give her/him peace and mental strength.
🙏🙏🙏 Amen.

Imani aliyonayo ina shangaza, kweli ana imani, Yesu alisema imani kiasi kidogo cha punje ya haradali inaweza hamisha mlima, Mathayo 17:20, Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mtauambia mlima huu, 'Ondoka hapa uende pale,' ...
Cancer ni kitu kidogo sana ukilinganisha na kuhamisha mlima.

Yoshua 1:9​

Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
AF32854D-B6D9-41BF-A9FD-8C38C55E3918.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
6668D93B-8483-44A2-BB30-1076E25DCE67.png
 
We acha tu...

Mtu wa karibu sana (42yrs) hapa alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Linauma. Linatulia. Mara anahara. Mara tumbo limejaa gesi...amekuja kwenda hospitali amekuwa diagnosed na terminal liver cancer. Yaani kansa imeshaenea kwenye ini mpaka figo na uti wa mgongo na pancreas. Madaktari hawana la kufanya. Wamemwambia akitoboa miezi mitatu ni bahati...na ndiyo tu kaanza PhD yake ya Economics na ana mtoto wa miezi mitano. Just like that maisha yamebadilika.

Uzuri ni kwamba anamfahamu Yesu na uwezo wake; na ameshasema kuwa hawezi kufa. Ijumaa hii kuna maombi maalum kwa ajili yake kanisani...

Ndo maisha yetu. Leo upo unajiona mzima kabisa na ujana wako. Kesho lo lote laweza kutokea. Hata sijui wasio na tumaini katika Yesu wanaishije katika dunia hii ya shida...

Tuombe sana Mungu Atuongoze - katika nyanja zote za safari yetu katika kasayari haka kazuri
2 Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa mazizini
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
353D4B86-EEFB-4310-970D-F6DC4A8DD630.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
AAC796A3-7994-4A3B-A661-C193ED1B2FB7.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
2B01AC54-BBBF-4EF2-B5F8-9B25FBA0E6D9.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
15C4F34C-368F-4F09-8172-A6DBE7609EB0.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
No name on earth can describe Who You are
From eternity past You remain the same forever
In heaven and earth none compares with You
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am

You're the Lion and the Lamb
You are the fire and the water
You are the past and the future
I Am that I Am, I Am that I Am

You are the God of the mountain
You are the God in the valley
The earth is Your footstool
And Yet You live in it
I Am that I Am

😊😊
D045FFF2-B89F-429E-9249-11F2390E985A.png
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.

Bye mama pastaaaa jiraniii mda ndio huu wa kuchili na mshua 😍😍
 
You are too faithful to fail me.
You are too faithful to disappoint me.
You've proven yourself in my life,
And I come to realize
You are too faithful to fail me.

Oh, oh, You're too loving to leave me
Cah, sah, bah, bah, bah, dey, too loving
You're too loving to leave me halfway
What you start, You always finish
But I've come to realize
That You're too loving to leave me
09EBD419-0FE6-4E18-81A7-927205FA2749.png
 
Na mimi ninayo yangu ila nilioupata ulinipiga penyewe.. nashindwa kuukubali.


Nimemuonea huruma maana nimevuta picha maumivu aliyopata na anayoendelea kupata..
Yaani ajali ni mbaya,,viungo hata vikirudi,haviwezi kuwa the same kama mwanzo.
Mimi almanusura gari liondoke na kichwa Changu hadi leo hakipo sawa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ooh pole sana
 
Na mimi ninayo yangu ila nilioupata ulinipiga penyewe.. nashindwa kuukubali.


Nimemuonea huruma maana nimevuta picha maumivu aliyopata na anayoendelea kupata..
Yaani ajali ni mbaya,,viungo hata vikirudi,haviwezi kuwa the same kama mwanzo.
Mimi almanusura gari liondoke na kichwa Changu hadi leo hakipo sawa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pole sana Sis
 
Back
Top Bottom