Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mradi panafikika ndio la muhimuuu

Huko mbali ndio kwenyew, hamna watu wengi. Full kuskia milio ya ndege tu wakitumbuiza๐Ÿ˜Š
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ hapo tukienda tunapumzika wiki mbili kabisa maana sio kwa umbali uliopo na ukijificha huko hushuki chini maana na mlimani juu kabisaaa ... na mahala pa kuishi ni kati kati ya mlima umezingukwa na msituu tuu
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‡ Asie na mwana kesho abebe jiwe tu limpe faraja ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿคญ.. ka FIB kamelala tayari ila zimefika
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hamna namna

Ndio unakalinda sio๐Ÿ˜› kanaenjoy.
Asbh muandalie breakfast on bed, siku yenu ya kujidaii
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ hapo tukienda tunapumzika wiki mbili kabisa maana sio kwa umbali uliopo na ukijificha huko hushuki chini maana na mlimani juu kabisaaa ... na mahala pa kuishi ni kati kati ya mlima umezingukwa na msituu tuu
Duuuh ndio maana baridi basi, sasa kuna usafiri wa kufika huko au tunatembea kupanda milima?๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hamna namna

Ndio unakalinda sio๐Ÿ˜› kanaenjoy.
Asbh muandalie breakfast on bed, siku yenu ya kujidaii
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Kila mtu kalala chumbani kwake.. wafalme wanalala na wenza wao kipindi maalumi tu sio kila siku ๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ na kamezoe tayari kila mtu kulala gheto lake mshari anamfata mwenzake mkiona hakuna kufatana basi fresh ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Duuuh ndio maana baridi basi, sasa kuna usafiri wa kufika huko au tunatembea kupanda milima?๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ
Gari zinapanda vizuri ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ baridi lipo kali sana.. napapenda ikifika usiku kunakuwa na giza moja matataaa sanaaa hadi rahaaa alafu kimyaaaa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ hapo huwa naenjoy sana
 
Back
Top Bottom