Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
โ๏ธโ๏ธ mama huyo ๐๐
โ๏ธโ๏ธ mama huyo ๐๐
ImeishaaaMama malezi fanya yako yote, mie mshono ni huo, sitaki mshono mwingne.
Fanya kuleta color.
๐๐๐ hii ni private sio tupo tuna enjoy mapaparaziii haoo mezani wanaharibu show bureeeYeah nipee private๐ ๐ ๐
Ikubane bana. Au kama ungeweza kugonga ka slit dress (mpasuo fulani hivi amazing) afu nyuma kuwe na tail. uuuuuuuuuuuuuuh (mjeda hatokubali kamwe)
Shida ya ready made ndiyo hiyo; hadi upate kitu exactly unachokitaka





fashionister tupe vituuu.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐ Kesho ni siku ya kila mtu kushinda na mpenzi wake ...
Af inakua sio poa, watachafua hali ha hewa๐ ๐๐๐๐ hii ni private sio tupo tuna enjoy mapaparaziii haoo mezani wanaharibu show bureee
Sema mbaliii ๐ ๐ ๐ huwa nikifikiria kwenda nachoka kwanzaa.. ila nakuta hakuna namna naenda tu๐ ๐ ๐ pananifaa huko, nipate hot shower๐
Ngoja niiangalie nione!Ikubane bana. Au kama ungeweza kugonga ka slit dress (mpasuo fulani hivi amazing) afu nyuma kuwe na tail. uuuuuuuuuuuuuuh (mjeda hatokubali kamwe)๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Shida ya ready made ndiyo hiyo; hadi upate kitu exactly unachokitaka
๐๐๐ unaweza jikuta font page ya uwazi sijui amani ๐ ๐ ๐ ๐Af inakua sio poa, watachafua hali ha hewa๐ ๐
Alooo! Pole sana anza mazoezi chiefNaufurahia sana!
๐ ๐ ๐ Asie na mwana kesho abebe jiwe tu limpe faraja ๐๐๐๐คญ.. ka FIB kamelala tayari ila zimefika๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Eeh kweli, nami nitakua busy na Big boy.
Utampa hi FIB๐
Mradi panafikika ndio la muhimuuuSema mbaliii ๐ ๐ ๐ huwa nikifikiria kwenda nachoka kwanzaa.. ila nakuta hakuna namna naenda tu
๐๐๐๐ hapo tukienda tunapumzika wiki mbili kabisa maana sio kwa umbali uliopo na ukijificha huko hushuki chini maana na mlimani juu kabisaaa ... na mahala pa kuishi ni kati kati ya mlima umezingukwa na msituu tuuMradi panafikika ndio la muhimuuu
Huko mbali ndio kwenyew, hamna watu wengi. Full kuskia milio ya ndege tu wakitumbuiza๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hamna namna๐ ๐ ๐ Asie na mwana kesho abebe jiwe tu limpe faraja ๐๐๐๐คญ.. ka FIB kamelala tayari ila zimefika
Duuuh ndio maana baridi basi, sasa kuna usafiri wa kufika huko au tunatembea kupanda milima?๐โโ๏ธ๐๐๐๐ hapo tukienda tunapumzika wiki mbili kabisa maana sio kwa umbali uliopo na ukijificha huko hushuki chini maana na mlimani juu kabisaaa ... na mahala pa kuishi ni kati kati ya mlima umezingukwa na msituu tuu
๐๐๐ Kila mtu kalala chumbani kwake.. wafalme wanalala na wenza wao kipindi maalumi tu sio kila siku ๐บ๐บ๐บ๐บ๐บ na kamezoe tayari kila mtu kulala gheto lake mshari anamfata mwenzake mkiona hakuna kufatana basi fresh ๐ ๐ ๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hamna namna
Ndio unakalinda sio๐ kanaenjoy.
Asbh muandalie breakfast on bed, siku yenu ya kujidaii
UmelalaZiko wapi?
Gari zinapanda vizuri ๐๐๐ baridi lipo kali sana.. napapenda ikifika usiku kunakuwa na giza moja matataaa sanaaa hadi rahaaa alafu kimyaaaa ๐๐๐ hapo huwa naenjoy sanaDuuuh ndio maana baridi basi, sasa kuna usafiri wa kufika huko au tunatembea kupanda milima?๐โโ๏ธ
Jaman umenikumbusha mbali hayo magazeti๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐ unaweza jikuta font page ya uwazi sijui amani ๐ ๐ ๐ ๐