Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jaman umenikumbusha mbali hayo magazeti🤣🤣🤣

Shilawadu sio watu wazuriii
😀😀😀😀 watu wabayaaa, wanafata hatua kwa hatuaa utazikuta picha zimezagaaa ndio tutajua hatujuiii hapo.. tunaweza hama inchi tukarudi baada ya miaka 12
 
😀😀😀 Kila mtu kalala chumbani kwake.. wafalme wanalala na wenza wao kipindi maalumi tu sio kila siku 😺😺😺😺😺 na kamezoe tayari kila mtu kulala gheto lake mshari anamfata mwenzake mkiona hakuna kufatana basi fresh 😅😅😅😅
Khaaa mbona ubabe huo jaman😂😂😂

Me Big boy naskia ananiita hapa so soon namjoin
 
Gari zinapanda vizuri 😀😀😀 baridi lipo kali sana.. napapenda ikifika usiku kunakuwa na giza moja matataaa sanaaa hadi rahaaa alafu kimyaaaa 😀😀😀 hapo huwa naenjoy sana
Kama gari zinapanda hapo gudiii maana nna allergy na kupanda milima😃
 
The view is breathtaking😍

Na sijawah lala kwa tent, itakua bonge moja la adventure... can't wait😊

Kama vipi tuanzie huko, nimefall inlove napo tayari. Mapemaa naweka booking
Miezi hii ya baridi kulala kwenye tent ni changamoto;. Labda ubebe na mablanket yako. Nilijuta na nilivyo na kibaridi mimi, au labda huko hakuna baridi kihivyo na usiwe muoga wa baridi kama mimi
 
Miezi hii ya baridi kulala kwenye tent ni changamoto;. Labda ubebe na mablanket yako. Nilijuta na nilivyo na kibaridi mimi, au labda huko hakuna baridi kihivyo na usiwe muoga wa baridi kama mimi
Me baridi naiogopa na hua ikiwa kali mwili unawasha navimba kama vile nimetembelewa na mdudu.

Saivi najitahidi kuepuka kusafiri mikoa ya baridi maana mziki wake nauelewa ni mateso unalala na nguo mia mia😂
 
Huko wao hawakati miti?
Mie nilikua najuaga, hakna miti, yaan kupo wazi tyuuh.
Wewee!

Hili ni bara zima na zipo mtu 332.4 million tu. Kuna mapori kila kona. Ukiruka juu ndo unayaona vizuri...

Mikeka yao naona wanaitunza vizuri kwa sababu nyasi zinafyekwa na mandhari inawekwa vyema hasa huko mbali na mji. Ni kukanyaga wese tu japo bei kwa sasa inatisha!


20220518_141216%5B1%5D.jpg
 
Me baridi naiogopa na hua ikiwa kali mwili unawasha navimba kama vile nimetembelewa na mdudu.

Saivi najitahidi kuepuka kusafiri mikoa ya baridi maana mziki wake nauelewa ni mateso unalala na nguo mia mia😂
Yaani hadi tent linavuja vimaji; hamu yote kushney. Imefika asubuhi wenzangu wote wameamka, nikawaambia mimi mniache tu kwanza niendelee kujikunyata daah.

Muda huu ujikute tu upo Mbeya au Njombe mweeeeeeej
 
Yaani hadi tent linavuja vimaji; hamu yote kushney. Imefika asubuhi wenzangu wote wameamka, nikawaambia mimi mniache tu kwanza niendelee kujikunyata daah.

Muda huu ujikute tu upo Mbeya au Njombe mweeeeeeej
Hivyo vimaji vikikugusa hee si ndio inazidisha baridi.

Bora kwenda huko kipind cha joto ndio mateso yanakua sio kivile
 
Back
Top Bottom