Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😀😀😀😀 Leo sina somo kabisaaa nimepoa tuu hapa nasubiri kuchapaaa usingizi mnonoHahaaa leo hutoi somo lingine?
😀😀😀😀 Leo sina somo kabisaaa nimepoa tuu hapa nasubiri kuchapaaa usingizi mnonoHahaaa leo hutoi somo lingine?
shangazi mie sitakiiiii
iyo siku nitakuja na madeni ya kulipa viti vya watu kwa ajili ya kuselfika tusaidiane 


Wamepaweka kitamaduni, simple n classic😍😀😀😀😀 hivi karibuni walibadirisha design mala ya mwisho nilienda bila simu wala camera ila pazuri sana wameboresha ila awali palikuwa hiviView attachment 2232366View attachment 2232367
Nimeona hapo chini umechagua lavender yes itakupendeza sana kwa rangi yako na hata pia kwa watu ambao mna Utulivu kama wewe, sio Coca🤣🤣Mie pia nimeambiwa nichague kigauni kizureeeeeeee cha birthday ila mi kisiwe cha kushona muda hautatosha!! sijui kiwe cha rangi gani Heaven Sent Fashionist ushauri wako pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
MS TCDC pale kwa Wadenish?Kuna sehemu Chuga vipo kama hivyo
Tutafikia hapo
😂😂😂😂🤣🤣Wee vijijini wanatuogopaje wafanyakazi !! yani unaeza kuta mtu mkubwa karibia na mama yako anakuamkia unabaki kutoa macho tu!!Hujaopoa m1? Au unaogopa kurogwa? Maana wa mama wa vijijini lol
Andaa basi material, kesho weekend isikate bure bila somo😅😀😀😀😀 Leo sina somo kabisaaa nimepoa tuu hapa nasubiri kuchapaaa usingizi mnono
Nimeshapoa japo wanatukosesha uhondo. Mtatupa matokeo basiOoh pole
Wameingia partnership na startimes
Uzuri wa bathroom ( heater zao kubwa unaweza kaa nusu saa maji ya moto hayaishi na utamu mwingine kuna kioo kikubwa chini kuna bondee.. unaoga huku unapata view nzuriii unaweza kaaa huko bafuni hadi ukasahahu 😀😀😀😀Wamepaweka kitamaduni, simple n classic😍
Panavutia, nimependa hyo bathroom😊
Basi kaa kwa kutulia. Kesho tutafute color fulani hivi ya kijanja afu uniqueNataka rangi 1 tyuuh, nitatambulishwa km designer.
Nataka niwe maarufu na mie mjini. Woiiiiiiih
Bosi Ledi. Sijaambulia kitu. Nimekuta manyoya kila mahali. Waweza kufanya wema kidogo kabla hujalala?Wee vijijini wanatuogopaje wafanyakazi !! yani unaeza kuta mtu mkubwa karibia na mama yako anakuamkia unabaki kutoa macho tu!!
Wazazi Wakija shule wanakua na nidhamu kama yote!
Ngoja niongee na boss nifanye makeke wiki hii birthday mi next week!! Enhee ya kuchanua au ya kubana?Nimeona hapo chini umechagua lavender yes itakupendeza sana kwa rangi yako na hata pia kwa watu ambao mna Utulivu kama wewe, sio Coca🤣🤣
Changamoto kidogo nafikiri itakuwepo kwenye kupata ready made dress ya attire. Si unajua hizi rangi classic sana, haziwi nyingi unlike rangi zetu za kisukuma. Labda uanze kutafuta gauni mapema sana
Nimeona hapo chini umechagua lavender yes itakupendeza sana kwa rangi yako na hata pia kwa watu ambao mna Utulivu kama wewe, sio Coca
Changamoto kidogo nafikiri itakuwepo kwenye kupata ready made dress ya attire. Si unajua hizi rangi classic sana, haziwi nyingi unlike rangi zetu za kisukuma. Labda uanze kutafuta gauni mapema sana





sasa mie rangi gan itanifaaa? Mbna mnanichanganya sasa.😀😀😀😀😀 Kesho ni siku ya kila mtu kushinda na mpenzi wake ...Andaa basi material, kesho weekend isikate bure bila somo😅
Wasio na wapenz washinde njaa itapendezaKesho ni siku ya kila mtu kushinda na mpenzi wake ...
Ooh hayaNimeshapoa japo wanatukosesha uhondo. Mtatupa matokeo basi
Lavender ni rangi nzuri ila ya Utulivu. Plus wewe si ndiyo designer??? Hiyo rangi imevalika sana last year hata this year; designer lazima uje na kitu Cha tofauti. Ungekuwa mgeni wa kawaida tu afu sio kwa jump suit hiyo ingekuwa sawasasa mie rangi gan itanifaaa? Mbna mnanichanganya sasa.
Itaisha usiku sana basiOoh haya
Wapo kwenye vazi la ufukweni hapa
Weuweeeeeeh,. Yaan mama malezi fanya kuleta color ambayo nikiingia ukumbini, watu wanitazame mie tyuuh.Basi kaa kwa kutulia. Kesho tutafute color fulani hivi ya kijanja afu unique








