Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
AbeeeeeMama Junialooh
AbeeeeeMama Junialooh
at least utazoea taratibu taratibu finally utatupia zako kama Heaven Sent
😀😀😀😀 eeeh..Wasio na wapenz washinde njaa itapendeza
Bosi Ledi. Sijaambulia kitu. Nimekuta manyoya kila mahali. Waweza kufanya wema kidogo kabla hujalala?
Mkekaa unanitoa udendaa sanaa ...
Nikajua kuna muujiza wa picha ya Mtumishi. Huyo usimtegemee sana.at least utazoea taratibu taratibu finally utatupia zako kama Heaven Sent
Ooh yeahItaisha usiku sana basi
Km week ijayo, mbna unaweza shona shouzzzzzzNgoja niongee na sponsor nifanye makeke wiki hii birthday mi next week!! Enhee ya kuchanua au ya kubana?
hahaa...Nikajua kuna muujiza wa picha ya Mtumishi. Huyo usimtegemee sana.
Huko wao hawakati miti?




Huyu fundi ukitaka ashone vizuri anahitaji Muda sio kushtuka shos!!Km week ijayo, mbna unaweza shona shouzzzzzz
Kule sijawah kufika, nilikua napaskia tu. Nako kuzuri eeh?MS TCDC pale kwa Wadenish?
Wana tuvibanda twa hivi japo siyo mbali na mji. Niliwahi kukaa hapo miezi miwili......
Mama malezi fanya yako yote, mie mshono ni huo, sitaki mshono mwingne.Lavender ni rangi nzuri ila ya Utulivu. Plus wewe si ndiyo designer??? Hiyo rangi imevalika sana last year hata this year; designer lazima uje na kitu Cha tofauti. Ungekuwa mgeni wa kawaida tu afu sio kwa jump suit hiyo ingekuwa sawa
Yeah nipee private😅😅😅😀😀😀😀 Pazuri wacha nikupenyezee kimya kimya sio hapa public nitachana mkekaaa
Baki hapa, kesho weekend.Usikumwema
😅😅😅 pananifaa huko, nipate hot shower😋Uzuri wa bathroom ( heater zao kubwa unaweza kaa nusu saa maji ya moto hayaishi na utamu mwingine kuna kioo kikubwa chini kuna bondee.. unaoga huku unapata view nzuriii unaweza kaaa huko bafuni hadi ukasahahu 😀😀😀😀
Oooh hapo sawaaaah,Huyu fundi ukitaka ashone vizuri anahitaji Muda sio kushtuka shos!!





Ikubane bana. Au kama ungeweza kugonga ka slit dress (mpasuo fulani hivi amazing) afu nyuma kuwe na tail. uuuuuuuuuuuuuuh (mjeda hatokubali kamwe)🤣🤣🤣Ngoja niongee na sponsor nifanye makeke wiki hii birthday mi next week!! Enhee ya kuchanua au ya kubana?
Naona unatangaza sehemu ambayo ubongo wako umewekwa...