Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
Unaniua kwa kicheko ujue 🤣🤣🤣
hatumii ku shoot, anabamiza na kitako cha bunduki paaaah.
hatumii ku shoot, anabamiza na kitako cha bunduki paaaah.
Hapo najua pamoja na kwamba wababa mara nyingi hatupendi hivyo vikao...kwa darasa lako wababa lazima waje tuu tena kama sijakosea ulishatongozwaHahahaaaa...tena jana tulikua na kikao na wazazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂!!
Yes ziko fresh sanaaa. Ntashuka na hizi.Kuna hiz zimeng'aa kidogo alafu kunaile ya mwanzo View attachment 2232350View attachment 2232351
Hahahaaaa...tena jana tulikua na kikao na wazazi!!







Hujaopoa m1? Au unaogopa kurogwa? Maana wa mama wa vijijini lolBora hizi zinangaa kiasi chakeYes ziko fresh sanaaa. Ntashuka na hizi.
Zimetulia mnoooo
Unaniua kwa kicheko ujue![]()








.Nimeongeza inatosha kwa leoYes ziko fresh sanaaa. Ntashuka na hizi.
Zimetulia mnoooo
Hata wee umeona hilo eeeh? Hizi zinawaka.Bora hizi zinangaa kiasi chake
Pengine hukuu juu kabisaaa kwenye hivi vi cottages 😍😍😍Nakusubiri usikawie kurudi twenzetu huko
YeahHata wee umeona hilo eeeh? Hizi zinawaka.
Haswaaaaah.Yeah
Iwe imechangamka kidogo
Ukikaa safi unasikia ndege tu na upepo 😍😍Nakusubiri usikawie kurudi twenzetu huko
😋😋😀😀😀 narudi chap chap ili twende chap chap.. hapo moshi siku 2, arusha siku 2, migombani siku 3😍😍😍 jumla siku Saba
😺😺😺 Kikubwa mwili hautakiwi kuzidi mzunguko wa mikono 😀😀😀😀... imeeleweka kabisa kabisa😋😋
Tukirud hapo tutakua tumeongezeka kilo kadhaa, tunaanza diet😅😅
Baridi plus ukungu tuu 😀😀 si ndio rahaPanavutia😍
Huko ni baridi?
Kheeeeh sasa nan?![]()


Ila coca naona majirani wanaishangaa navocheka humu ndani pekeangu km chizi