Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
Kuna mtu aliwahi nambia nikiwa na mjeda, bas kila siku naamkia wodini. Uwiiiiiiih
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ!!!
Shos sitaki mie kha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!
 
๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ๐Ÿ˜บ Kikubwa mwili hautakiwi kuzidi mzunguko wa mikono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€... imeeleweka kabisa kabisa
Somo nililibeba kama lilivyo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Jaman kuna rafiki angu wa utotoni anaolewa, sasa nimealikwa,
Japo huwa sipendelei kuhudhuria harusi, ila hii lazima niwepo na nimepania kufunika kwa mavazi na muonekano.

Naomba mnichagulie rangi ambayo nikivaa na kwa mshono husika nitawaka hatareee. Na mshono wenyewe ni huu kwa picha. Yaan nataka nitoke km hivyo had hiyo kofia hapo,

Mnichagulie rangi, hii nyeupe sijaitaka. Nataka ingine mie. Haya naombeni msaada wenu.

Serious yaan..

View attachment 2232302
Kama nakuona mama shughuli.

Hapa lazima uende na color inayo-pop up. Rangi iliyochangamka haswaa, Utulivu hapana
 
cha ajabu sasa Mungu kwanza akani face na mjeda, nkamjibu, hapana maisha yangu bado nayahitaji hatutawezana, uvumilivu utakushinda tyuuh sasa kunipa ulemavu nehiiiiii.

Nawaogopa hao, weeeeh
coca ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿšถ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!
 
Back
Top Bottom