Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Kuna sehemu Chuga vipo kama hivyo๐๐Pengine hukuu juu kabisaaa kwenye hivi vi cottages ๐๐๐View attachment 2232359
Tutafikia hapo
Kuna sehemu Chuga vipo kama hivyo๐๐Pengine hukuu juu kabisaaa kwenye hivi vi cottages ๐๐๐View attachment 2232359
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ!!!.
Kuna mtu aliwahi nambia nikiwa na mjeda, bas kila siku naamkia wodini. Uwiiiiiiih
Ila coca naona majirani wanaishangaa navocheka humu ndani pekeangu km chizi
![]()








shangazi wee furahi, nipo humu kwa ajiri ya kuwafurahisha. EnjoyyyNaona ukungu umetanda kama wote.Baridi plus ukungu tuu ๐๐ si ndio raha
Ipo siku nitajipost full na poz kma lako inabidi nikavunje viti vya psWeeewsio mm jmn

Somo nililibeba kama lilivyo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐บ๐บ๐บ Kikubwa mwili hautakiwi kuzidi mzunguko wa mikono ๐๐๐๐... imeeleweka kabisa kabisa
Looh nilijaribu kuchungulia huku kwetu nikakuta hollaaaaHeaven Sent naona wanaonyesha startimes kupitia ST .bongo pekee
Nipo naangalia hapa ..
Mwaka huu gari ni Mercedes Benz wamejipanga aisee
Hapa pazuri .. yaani huwa napapenda sanaaa.. chuga kuna mahala hivi nitakupa ka code pata tufaaa kwa hizi siku mbili ๐๐Kuna sehemu Chuga vipo kama hivyo๐๐
Tutafikia hapo
๐๐๐๐ Safi kabisa mwanafunzi mwelevuSomo nililibeba kama lilivyo๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ooh poleLooh nilijaribu kuchungulia huku kwetu nikakuta hollaaaa
!!!
Shos sitaki mie kha!!






cha ajabu sasa Mungu kwanza akani face na mjeda, nkamjibu, hapana maisha yangu bado nayahitaji hatutawezana, uvumilivu utakushinda tyuuh sasa kunipa ulemavu nehiiiiii. Nipee code nipacheki mapemaa๐Hapa pazuri .. yaani huwa napapenda sanaaa.. chuga kuna mahala hivi nitakupa ka code pata tufaaa kwa hizi siku mbili ๐๐View attachment 2232361
Kama nakuona mama shughuli.Jaman kuna rafiki angu wa utotoni anaolewa, sasa nimealikwa,
Japo huwa sipendelei kuhudhuria harusi, ila hii lazima niwepo na nimepania kufunika kwa mavazi na muonekano.
Naomba mnichagulie rangi ambayo nikivaa na kwa mshono husika nitawaka hatareee. Na mshono wenyewe ni huu kwa picha. Yaan nataka nitoke km hivyo had hiyo kofia hapo,
Mnichagulie rangi, hii nyeupe sijaitaka. Nataka ingine mie. Haya naombeni msaada wenu.
Serious yaan..
View attachment 2232302
coca ๐๐๐๐๐๐ถ๐ฝโโ๏ธ๐ถ๐ฝโโ๏ธ๐ถ๐ฝโโ๏ธ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!!cha ajabu sasa Mungu kwanza akani face na mjeda, nkamjibu, hapana maisha yangu bado nayahitaji hatutawezana, uvumilivu utakushinda tyuuh sasa kunipa ulemavu nehiiiiii.
Nawaogopa hao, weeeeh
Ipo siku nitajipost full na poz kma lako inabidi nikavunje viti vya ps![]()





shangazi mie sitakiiiii๐๐๐๐ hivi karibuni walibadirisha design mala ya mwisho nilienda bila simu wala camera ila pazuri sana wameboresha ila awali palikuwa hiviNaona ukungu umetanda kama wote.
Raha hapo kujifunika blanket + coffee + movie aaah ๐๐
Hahaaa leo hutoi somo lingine?๐๐๐๐ Safi kabisa mwanafunzi mwelevu
๐๐๐๐ Pazuri wacha nikupenyezee kimya kimya sio hapa public nitachana mkekaaaNipee code nipacheki mapemaa๐
Nataka rangi 1 tyuuh, nitatambulishwa km designer.Kama nakuona mama shughuli.
Hapa lazima uende na color inayo-pop up. Rangi iliyochangamka haswaa, Utulivu hapana



