Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
Namie nasubiria hapa mdogo wanguNgoja my wangu Kuna karangi nakapendaga mno na hakakatai mtu ngoja nione km ninapicha
Namie nasubiria hapa mdogo wanguNgoja my wangu Kuna karangi nakapendaga mno na hakakatai mtu ngoja nione km ninapicha
Kwa mshono huo inahitaji rangi ya kuwaka sio ambayo imepoa .Nawee toa maoni bhanaa, ndo maan nmeleta hapa, mnisaidie.
Kasema haina shida, anytime twende tu
😺😺😺😺 umeona mie mgomvii eeh
Wa mchongo vipi uko poa
Nenda dukan, chukua kikareee, afu simple tyuuh.Mie pia nimeambiwa nichague kigauni kizureeeeeeee cha birthday ila mi kisiwe cha kushona muda hautatosha!! sijui kiwe cha rangi gani Heaven Sent Fashionist ushauri wako pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!





Mie kwa mawazo yangu,Kwa mshono huo inahitaji rangi ya kuwaka sio ambayo imepoa .
Huwa unapendelea rangi zipi ?
Atuleteee hapa tuone.Namie nasubiria hapa mdogo wangu
Hii hapa mm naonaga iko poa au sijui machoyanguFanya hivyooo yaan.
That's ma favourite colour 😘😘😘😘!!!Hii hapa mm naonaga iko poa au sijui machoyanguView attachment 2232321
Wow kumbe na mm ninajua kuchagua bhnaThat's ma favourite colour!!!

Mimi pia nilikuwa naifikiria hii ni nzuri sanaa inaitwa Lavender purpleHii hapa mm naonaga iko poa au sijui machoyanguView attachment 2232321
Chaguo zuri cream huwa inanoga mnoMie kwa mawazo yangu,
Niliwaza rangi ya Cream
Nakusubiria teacher ndo nipate usingiziThat's ma favourite colour 😘😘😘😘!!!
Mimi pia nilikuwa naifikiria hii ni nzuri sanaa inaitwa Lavender purple

jina ndo lilinipotea ni rangi nzuri mno kwakweli hta uwe mweus au mweupe inakaaYako hujarudiaNakusubiria teacher ndo nipate usingizi
hahahaha👆👆👆👆👆👆👆👆👆Nakusubiria teacher ndo nipate usingizi