Selemani Semunyu kipindi dakika 45 ITV hautendi haki!

Alafu kwa nini arudie rudie kumuhoji Waziri mmoja tuuuuuuu! " Eti Jumatatu tutamsikia tena Waziri aliyeongea wiki iliyopita akitoa mkwala au onyo kuwa " ' siku akioteshwa kugombea urais wa nchi, ..............' Sijui atafanya nini sasa?

Semunyu hakuna shida, kipindi kama hiki ungekipa jina la Maelezo ya Viongozi / Mawaziri wa Serikali ya JMT au Dakika 45 za Viongozi wa Serikali na Asasi zake ili ieleweke kabisa kuliko kujificha chini ya kivuli cha dk 45 ambazo viongozi wengine wa kijamii hawazipati.

Pili unatakiwa kuwa makini sana usionekane kuanza kutumika katika mbio za kinyang'anyiro maana ni kinyume sana na ethics za kazi yako na sasa hakuna nafasi ya Urais ambayo imetanganzwa kuwa wazi.
 
Colleagues,

JF haimwachi mtu. Aliyeleta Semunyu hapa jamvini amefanya la maana sana. Hivi ni lini tutapata watangazaji wazuri wanaoweza ku-uliza maswali ya ki-BBC. Kwa wapenzi wa 'hard-talk' mnajua ninachomaanisha hapa. Ushauri wangu kwa Semunyu: Please nafasi uliyonayo niyamuhimu sana-waulize viongozi wetu maswali yanayotoa majibu kwa watazamaji wa kipindi chako. Mfano, hivi iweje hukuuliza Mh. Membe kwa nini watumie lugha ya 'change ya Rada' badala ya Rushwa na misamiati mingine inayoendana na ubadhirifu kama huo? Ni kwanini unampa mhojiwa wako muda mlefu kuongea wakati kuna maswali mengi unayoweza kuuliza? Nivyema kujielimisha 'in advance' kuhusu mada/sector/unit ya maojiano-mfano Membe alipoongea kuhusu masuala ya Sahara Magharibi-ulionesha kutoyajua sana.

All the best-JF members
 
tumchunguze background yake,inawezekana hajiamini, au shule yake ndogo. nadhani hicho kipindi hata bosi wake hakimfurahishi,
 
Ndugu yangu Selemani Semunyu, kwa nini huelewi, tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako, kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha, jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili kubalance stories na kupata taarifa zingine, kila siku ni Wasira na hali ya kisiasa nchini, mara Nagu na Wawekezaji, mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais,2015, INATOSHA...leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CHADEMA, NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....

Semunyu kikwetu means mavi ya mchawi sasa huyu Wa itv sijui
 
semunyu;unaongeleaje swala la kugombea urais mwaka 2015? membe;ole wao nioteshwe! semunyu;ole wao uoteshwe?...........
 
Bwana selemani Semunyu, una mapungufu makubwa katika kuhoji wageni wako.
1. Unakuwa msikilizaji wa mgeni wakati wewe inabidi umchokonoe kwa maswali
2. Unawaogopa unaowahoji kwa kutowapa touchy questions
3. wageni wako wanakuhubiria badala ya kujibu maswali yako

You ned to make big improvement. jaribu kusikiliza hadr talk BBC utajifunza mengi.
 
Awalete LIVE ili kipindi chake kipate mashiko....sasa hivi wala hakina mvuto coz tunajua ameshakifanyia editing.....
 
Bwana selemani Semunyu, una mapungufu makubwa katika kuhoji wageni wako.
1. Unakuwa msikilizaji wa mgeni wakati wewe inabidi umchokonoe kwa maswali
2. Unawaogopa unaowahoji kwa kutowapa touchy questions
3. wageni wako wanakuhubiria badala ya kujibu maswali yako

You ned to make big improvement. jaribu kusikiliza hadr talk BBC utajifunza mengi.

ni kawaida ya wandishi wetu kulamba viatu vya viongozi
 
Awalete LIVE ili kipindi chake kipate mashiko....sasa hivi wala hakina mvuto coz tunajua ameshakifanyia editing.....

Naunga mkono hoja awalete LIVE watu wamsaidie kuendesha kipindi amekuwa anajikanyaga kanyaga pia anakuwa kama vile maswali ya msingi haulizi.Najua ujumbe utampata ili ajirekebishe watu wapate ladha.
 
Naunga mkono hoja awalete LIVE watu wamsaidie kuendesha kipindi amekuwa anajikanyaga kanyaga pia anakuwa kama vile maswali ya msingi haulizi.Najua ujumbe utampata ili ajirekebishe watu wapate ladha.

Asante kwa kuliona hili. Hawapi maswali ya msingi ya kuibua hoja toka kwao. Kwa mfano alipokuwa anamhoji Membe, ilibidi aibue psychological and philosophical question on ndoto-kuwa bado sijaoteshwa-, kuna philosophical touchy questions angelimuuliza kuhusu ndoto mpaka angepata undani wa "sijaoteshwa" ana maana gani. Definitely Membe is an aspirant of Presidency post but was not made to reveal his inner motives/intention on this post!!!
 
Bwana selemani Semunyu, una mapungufu makubwa katika kuhoji wageni wako.
1. Unakuwa msikilizaji wa mgeni wakati wewe inabidi umchokonoe kwa maswali
2. Unawaogopa unaowahoji kwa kutowapa touchy questions
3. wageni wako wanakuhubiria badala ya kujibu maswali yako

You ned to make big improvement. jaribu kusikiliza hadr talk BBC utajifunza mengi.

Kwanini usianzishe kipindi chako?

Kumchokonoa mtu kuongea katika mahojiano si lazima umchomekee maswali, kuna "body language" inayoweza kumfanya mtu afunguke bila ya kumtia neno kinywani. Usinikumbushe Makwaya wa Jee, Tutafika?
 
Kwanini usianzishe kipindi chako?

Kumchokonoa mtu kuongea katika mahojiano si lazima umchomekee maswali, kuna "body language" inayoweza kumfanya mtu afunguke bila ya kumtia neno kinywani. Usinikumbushe Makwaya wa Jee, Tutafika?

Wote hatuwezi kuanzisha vipindi, kwani wewe ni daktari, engineere, nurse, fundi bomba, mhubiri etc ? Si una fani moja tu ambayo tunakutegemea uifanye to your customers' expectations! Semunyu is not to our expectations!
 
Nawashauri waanzishe jipindi la TANZANIA HARD TALK ,ya kwamba masuala yanakuwa sensitive sana ,na anaekwenda au anaealikwa ajue kuwa hapo ni ukweli na uwazi na kiwe live ,hapa itakuwa tumepiga hatua kwenye vyombo vyetu vya utangazaji.

Naamini kabisa kitasikilizwa sio Tz pekee bali East and central Africa nzima watatega sikio.
 
UNAKUMBUSHA KIKATUNI CHA GAZETI LA NATION JINSI WAANDISHI WA HABARI WATZ WALIVYOKUWA WANALAMBA VIATU VYA RAIS JK NA KMSAFISHA BADALA YA KUMEXPOSE. semunyoo atakuwa anatoka vyuo vya uchochoroni, naafikiri kipindi kama kile kuwa na watu kama DR. Rioba kinanoga sana.Na mimi nategemea kuanzisha kipindi changu binafsi soon, mipango bado inaendelea.
 
Jama ni mlarushwa kinoma.Sasa akishachukua chochote kwa mteja atamhoji maswali ya uchokonozi, lazima awe msikilizaji tu?
 
Tumeshuhudia kipindi cha ITV dakika 45 kila juma tatu saa3 usiku.

Wanahojiwa watu wenye mtazamo sawa tu!

Mawaziri wale wale wamekuwa wakijirudia na ahadi zile zile zisizo tekelezeka!

My concern:
Yako wapi mawazo mbadala? Je kipindi chenye upendeleo mkubwa kama hiki kwanini kisifungiwe?

Wadau mnasemaje?
 
Yule jamaa ninapomwangalia akiwa amekoncentrate kusikiliza anavyoburuzwa, huwa napata hasira ya kuvunja TV.

Kuna hilo likipindi na lile Amani yetu TBC1, la mwanamboka.
Yanatumaliziaga umeme bure tu.
 
Back
Top Bottom