Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde , kwamba yule Jamaa ambaye kwa sasa anatikisa nchi mithili ya Tetemeko la Uturuki, leo saa 3 usiku kwenye kipindi cha DK 45 cha ITV atahojiwa.
Kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe ITV inakwenda kuzidiwa na Watazamaji, bado sijafahamu Stesheni ya TV ikizidiwa na watazamaji nini kinatokea. Je, itazima? Hapa nitaomba wataalamu wa mambo ya habari na mawasiliano wanisaidie.
Bali cha Muhimu ni kwamba hutakiwi kukosa kipindi hiki muhimu cha leo ili wewe mwenyewe ujiridhishe pamoja na mambo mengine kama 2020 kulikuwa na uchaguzi au vituko.
Kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe ITV inakwenda kuzidiwa na Watazamaji, bado sijafahamu Stesheni ya TV ikizidiwa na watazamaji nini kinatokea. Je, itazima? Hapa nitaomba wataalamu wa mambo ya habari na mawasiliano wanisaidie.
Bali cha Muhimu ni kwamba hutakiwi kukosa kipindi hiki muhimu cha leo ili wewe mwenyewe ujiridhishe pamoja na mambo mengine kama 2020 kulikuwa na uchaguzi au vituko.