Dr. Possy, Naibu Katibu Mkuu, Uchukuzi yupo DK 45 ya ITV: Najitahidi nimuelewe imeshindikana

tamsana

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
3,248
7,119
Suala la Mkataba wa uwekezaji, uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Tanganyika kupitia DP World limeshika kasi ambapo leo Dr. Possy yupo ITV kwenye kipindi cha DK 45. Kwa kweli huyu Dr. amekuwq mstari wa mbele katika kutoa ufafanuzi kwenye media tofauti tofauti lakini kila nikijaribu kumuelewa nashindwa.
Labda siku akisimama Katibu Mkuu kutoa ufafanuzi nitamwelewa maana Waziri na wataalam wengine ambao wameshawahi kutoa ufafanuzi kuhusu huo mkataba siwaelewi kabisa.
 
Zamani kuitwa Dr.ulikuwa unaheshika sana.
Anyway hawa watu kama wanashindwa kutuheshimu basi wajiheshimu wao wenyewe.
 
Nmeanza kuelewa yale Maneno ya Mstaafu

'kama mambo hayataharibika sana kati ya sasa na 2025 basi huna wa kukupinga '


Mie nmeanza kuhisi hili jambo Mama kachomekewa halafu waliomchomekea ndio hao hao wakaja kuchochea moto upande wa Pili na hawataki uzime hadi Mama achoke awapishe

kabla halijapoa wamemuingiza Mkenge tena kwny sakata la Jaji Mkuu!

Kidumu Chama cha Mapinduzi
 
Hili suala la Bandari litaleta jambo jipya ambalo hatukuwahi kulishuhudia wala kulifikiria.
 
Suala la Mkataba wa uwekezaji, uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Tanganyika kupitia DP World limeshika kasi ambapo leo Dr. Possy yupo ITV kwenye kipindi cha DK 45. Kwa kweli huyu Dr. amekuwq mstari wa mbele katika kutoa ufafanuzi kwenye media tofauti tofauti lakini kila nikijaribu kumuelewa nashindwa.
Labda siku akisimama Katibu Mkuu kutoa ufafanuzi nitamwelewa maana Waziri na wataalam wengine ambao wameshawahi kutoa ufafanuzi kuhusu huo mkataba siwaelewi kabisa.
Tangu lini kikongwe akapakwa mske up?
 
Suala la Mkataba wa uwekezaji, uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Tanganyika kupitia DP World limeshika kasi ambapo leo Dr. Possy yupo ITV kwenye kipindi cha DK 45. Kwa kweli huyu Dr. amekuwq mstari wa mbele katika kutoa ufafanuzi kwenye media tofauti tofauti lakini kila nikijaribu kumuelewa nashindwa.
Labda siku akisimama Katibu Mkuu kutoa ufafanuzi nitamwelewa maana Waziri na wataalam wengine ambao wameshawahi kutoa ufafanuzi kuhusu huo mkataba siwaelewi kabisa.
Hata madarasani huwa yapo matoto magumu sana kumuelewa mwalimu mpaka yachapwe viboko, ni kawaida sana.
 
Suala la Mkataba wa uwekezaji, uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Tanganyika kupitia DP World limeshika kasi ambapo leo Dr. Possy yupo ITV kwenye kipindi cha DK 45. Kwa kweli huyu Dr. amekuwq mstari wa mbele katika kutoa ufafanuzi kwenye media tofauti tofauti lakini kila nikijaribu kumuelewa nashindwa.
Labda siku akisimama Katibu Mkuu kutoa ufafanuzi nitamwelewa maana Waziri na wataalam wengine ambao wameshawahi kutoa ufafanuzi kuhusu huo mkataba siwaelewi kabisa.
Mtu aliyeozeshwa akili ni vigumu kuelewa, sisi wengine tunamuelewa tu hivyo mnaweza kutuliza vitenesi vyenu hadi watakapoongea kina lissu wenu waliowaapisha muwe mnawaamini wao tu.
 
Suala la Mkataba wa uwekezaji, uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Tanganyika kupitia DP World limeshika kasi ambapo leo Dr. Possy yupo ITV kwenye kipindi cha DK 45. Kwa kweli huyu Dr. amekuwq mstari wa mbele katika kutoa ufafanuzi kwenye media tofauti tofauti lakini kila nikijaribu kumuelewa nashindwa.
Labda siku akisimama Katibu Mkuu kutoa ufafanuzi nitamwelewa maana Waziri na wataalam wengine ambao wameshawahi kutoa ufafanuzi kuhusu huo mkataba siwaelewi kabisa.
Hujakielewa ay hujapenda?

Mtu anaonga Kiswahili fasaha kabisa, msikilize tena hapa:

 
Nmeanza kuelewa yale Maneno ya Mstaafu

'kama mambo hayataharibika sana kati ya sasa na 2025 basi huna wa kukupinga '


Mie nmeanza kuhisi hili jambo Mama kachomekewa halafu waliomchomekea ndio hao hao wakaja kuchochea moto upande wa Pili na hawataki uzime hadi Mama achoke awapishe

kabla halijapoa wamemuingiza Mkenge tena kwny sakata la Jaji Mkuu!

Kidumu Chama cha Mapinduzi
Inafikirisha saaana,
 
Nini linachofikirisha? Vifungu vinachambuliwa kimoja kimoja.

Hukupenda ufafanuzi wa Kitaalam?

FaizaFoxy

Kwanza dada mimi sipingi huo mradi isipokuwa nguvu ya maoni ya wananchi ni muhimu kwenye huo mradi.

Isipokuwa Articles 2, Articles 20, 22,23 and 27 of the IGA zenye ukakasi zifanyiwe maboresho.
 
FaizaFoxy

Kwanza dada mimi sipingi huo mradi isipokuwa nguvu ya maoni ya wananchi ni muhimu kwenye huo mradi.

Isipokuwa Articles 2, Articles 20, 22,23 and 27 of the IGA zenye ukakasi zifanyiwe maboresho.
Wanachi wengi hawajauona mkataba. Wanajazwa ujinga na wale ambao maslahi yao yanazibwa na huu mkataba.


Hili liklikuwa jibu kwa wale waliokuwa wanauliza kuhusu ipi Zanzibar mbona haijawekwa? Sasa jamani Zanzibar tayari wana mikataba ya utendaji umpeleke mwengine tena, utawalipa hawa uliokwisha saini nao?


Hata huku alipokuwepo TICTS kilishindikana kufanyika chochote mpaka serikali ilipomalizana nae.
 
Wanachi wengi hawajauona mkataba. Wanajazwa ujinga na wale ambao maslahi yao yanazibwa na huu mkataba.


Hili liklikuwa jibu kwa wale waliokuwa wanauliza kuhusu ipi Zanzibar mbona haijawekwa? Sasa jamani Zanzibar tayari wana mikataba ya utendaji umpeleke mwengine tena, utawalipa hawa uliokwisha saini nao?


Hata huku alipokuwepo TICTS kilishindikana kufanyika chochote mpaka serikali ilipomalizana nae.

FaizaFoxy umeweka vema, kuna watu wanaunga hoja na hawajui nini kinaendelea. Kuna wanaojua nini kinaendelea ila hawajui nini kimetokea.

Na kuna wale hawajui wao wako wapi. Sasa kuna wale wanakanganya mambo kuwa bandari ni suala Muungano. !!!
 
Back
Top Bottom