Selemani Semunyu kipindi dakika 45 ITV hautendi haki!

Ndugu yangu Selemani Semunyu,kwa nini huelewi,tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako,kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha,jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili kubalance stories na kupata taarifa zingine,kila siku ni Wasira na hali ya kisiasa nchin,mara Nagu na Wawekezaji,mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais,2015,.INATOSHA..leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CDM,NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....
Ule mpango wa kuanzisha TV ya CH ADEMA umeishia wapi?
Hapo tungepata kuwaona mastaa wale uwapendao.
ITV mwachie Mengi anaifahamu audience yake.
 
Yap chukua hiyo kama ushaur, wa2 wako ni hao hao tu, au hizo dk 45 ni za wa2 wa serikalin tu?? Au kama unataka kifanye kiwe cha LIVE ili na sis tuulize maswal yetu, halafu uendelee kuwaita waheshimiwa hao hao, uone kama watakubal kuja kila mara.
 
Halafu hao mawaziri huwa ndio waendesha kipindi,yeye kuna wakati huwa anaishiwa hata maswali .kiufupi kipindi kinaboa.

nampa like mzee wangu nasako huwa anatoa fursa ya sisi kupiga simu
 
haya na sisWacheza Ngoma pamoja na wenzetu wa Sokoni tuhojiwe kwani tunuona Mustakabali wa Nchi hii sio lazima Viongozi wa kisiasa halafu wapinzani halafu....
Changanya sasa anza na sisi Watanzania wa Ground level
 
Ili kipindi kiwe kizuri inabibidi kiwe shirikishi pamoja waalikwa kutoka kwenye nyanja tofauti.
 
Ule mpango wa kuanzisha TV ya CDM umeishia wapi?
Hapo tungepata kuwaona mastaa wale uwapendao.
ITV mwachie Mengi anaifahamu audience yake.
Suala sio TV ya CDM wala Mengi na Audience yake,suala ni kwamba asiwe biased,maana sitegemei hayo makundi mengine Mengi hana interest nayo,.na kwa hili nadhani haitendei haki taaluma ya Uandishi wa habari,kabisa..au basi aruhusu maswali
 
Then mashuti yenyewe anayowashuti!!!!!!

Ah,


Utadhani ya Ana Makin..a!!

Awe ngangari bwana! Waulize watu maswali hadi kipindi wakiogope!!...

Na hapo ndipo kitapendwa mno kipindi chake....

Maana watu watajua mtu akienda kule ni anashighulikiwa vilivyo......wachana na siasa za kuwa bembeleza

wanamagamba!

Kama mna shindwa kodini mtangazi maalumu!!
 
Pia ajitahidi kuwa anasoma na kufanya utafiti japo kidogo tu maana baada maswali 3 ya mwanzo anaishiwa kabisa na kubakia kusikiliza porojo za aliowaalika kama Membe!!alipiga porojo utadhani mwalimu wa siasa jeshini
 
Back
Top Bottom