Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 187
- 334
Siku ya leo mitandao yote ya kijamii inazunguka Clip ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba ikisema kuanzia sasa gharama ya kuunganisha umeme iwe mjini iwe kijijini gharama ya kuletewa umeme ni laki 8.
Clip hiyo imetokana na sehemu ya mahojiano ya ITV katika Kipindi cha Dakika 45 Makamba akihojiwa na Mtangazaji Benjamin Mzinga, ambaye alizunguka naye kwenye ziara yake mikoa ya Kanda ya Ziwa ya kugawa mitungi ya gesi.
Kwanini wabunge hawa wamekuwa mbele kutetea clip hiyo ambayo haina upotoshaji kwani imemuonesha mzungumzaji mwenyewe?
Clip hiyo imetokana na sehemu ya mahojiano ya ITV katika Kipindi cha Dakika 45 Makamba akihojiwa na Mtangazaji Benjamin Mzinga, ambaye alizunguka naye kwenye ziara yake mikoa ya Kanda ya Ziwa ya kugawa mitungi ya gesi.
Kwanini wabunge hawa wamekuwa mbele kutetea clip hiyo ambayo haina upotoshaji kwani imemuonesha mzungumzaji mwenyewe?