Selemani Semunyu kipindi dakika 45 ITV hautendi haki!

Mgeni huwa anapewa maswali ambayo Semunyu atauliza na kuyataftia majibu kabisa...
 
Haya ndo madhumuni ya thread hii and nothing else. Mbona hamjawahi hata siku moja kusema kuhusu Makwaia wa Kuhenga ambaye huwa ana-feign ignorance kwa kila kitu. Wamekuja na idea nzuri na kipindi kinaendelea ku-improve kila wakati and it is much better today than when it started. Tatizo mnataka kulinganisha BBC, chombo kilichoanzishwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na waandishi mahiri mfananishe na ITV. Huko ni kutotenda haki. Sasa kama anatafuta ukuu wa wilaya kama Marine, mbona Marine hajawa?

Ni discretion ya wenye kipindi kujua ni nani wamuite na aeleze nini. Hiyo demokrasia yenu ifanyeni kwenye TBC ya walipa kodi. Sijawasikia mkilaumu Channel 10 ambayo kila siku huwaita Butiku, Kitine, Kaduma na Lwaitama! Nampongeza Semunyu, anajitahidi.

hatukatai kwamba anajitahidi but tunamtaka aiprove kidogo mkuu, kipindi chake kiongezeke mvuto zaidi kama si hivyo anaonekana kama katumwa kubeba baadhi ya watu, MKUU UNAPOPATA CHALLENGE FURAHIA BADALA YA KUONA UNAONEWA, tunataka kipindi chako kiwe bomba zaidi!
 
Naam, nadhani pia wajifunze kutoka kwa yule babu wa TBC1, this week,in perspective anavyotawala kipindi chake na hasa pale anapomalizia kwa majumuisho, unaona alivyojiaandaa na anajua kile alichotaka watazamaji wake wajue.
Kumbe kuna cha kujifunza kutoka TBC1?
 
Back
Top Bottom