Selemani Semunyu kipindi dakika 45 ITV hautendi haki!

Gamba Jipya

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
401
80
Nilikuwa jijini kuwasabahi ndugu na jamaa baada ya muda mrefu, nimebahatika kuona kipindi cha Q&A cha ITV kinachoenda kwa jina la dakika 45 kinachoongozwa na mtangazaji kijana kabisa bwana Suleiman Semunye.

Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.

Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.

Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.

Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.

Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.

Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!
Bwana selemani Semunyu, una mapungufu makubwa katika kuhoji wageni wako.
1. Unakuwa msikilizaji wa mgeni wakati wewe inabidi umchokonoe kwa maswali
2. Unawaogopa unaowahoji kwa kutowapa touchy questions
3. wageni wako wanakuhubiria badala ya kujibu maswali yako

You ned to make big improvement. jaribu kusikiliza hadr talk BBC utajifunza mengi.
Ndugu yangu Selemani Semunyu,

Kwanini huelewi, tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako, kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha, jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili ku-balance stories na kupata taarifa zingine.

Kila siku ni Wassira na hali ya kisiasa nchini, mara Nagu na Wawekezaji, mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais, 2015, INATOSHA... Leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CHADEMA, NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....
Tumeshuhudia kipindi cha ITV dakika 45 kila juma tatu saa3 usiku.

Wanahojiwa watu wenye mtazamo sawa tu!

Mawaziri wale wale wamekuwa wakijirudia na ahadi zile zile zisizo tekelezeka!

My concern:
Yako wapi mawazo mbadala? Je kipindi chenye upendeleo mkubwa kama hiki kwanini kisifungiwe?

Wadau mnasemaje?
 
Maskini, juzi mzee Sumaye aligusia suala la uchapishaji fedha kwa nchi zenye uchumi mbaya au ulioshuka akisema kuwa kipindi wanachukua madaraka uchumi ulikuwa mbaya lakini wakajitahidi kuupandisha bila kuchapisha fedha, yeye akauliza sasa inamaana nchi yetu hali ni mbaya sana, kwa kuwa wamechapisha noti(banknote)mpya...lol!, hakuelewa chochote kabisa, maskini.
 
Naam, nadhani pia wajifunze kutoka kwa yule babu wa TBC1, this week,in perspective anavyotawala kipindi chake na hasa pale anapomalizia kwa majumuisho, unaona alivyojiaandaa na anajua kile alichotaka watazamaji wake wajue.
 
Nilikuwa jijini kuwasabahi ndugu na jamaa baada ya muda mrefu, nimebahatika kuona kipindi cha Q&A cha ITV kinachoenda kwa jina la dakika 45 kinachoongozwa na mtangazaji kijana kabisa bwana Suleiman Semunye.

Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.


Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.

Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.

Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.

Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.

Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!

Mkuu specify sehemu angalau chache ambazo umeona amekosa umakini au hakuzifanyia utafti. Kumbuka kwamba huyu siyo mtangazaji wa siku nyingi, lakini nionavyo mimi pamoja na uchanga wake anajitahidi sana na he has what it takes to be a wonderful mtangazaji in the near future.
 
Nilibahatika kuona kpindi alichomuhoji Sumaye nilipata wasiwasi na upeo wake wa mambo ya kisiasa na uchumi..................Kipindi kizuri ila jamaa anatakiwa awe mdadisi wa mambo na ache kufanya kazi kwa mazoea
 
Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.

Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.

Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.

Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!

kwenye Red hapo: HA HA HA maneno kuntu hayo..
umeongea vizuuriii lakini mwisho hapo umekunya kwenye blue..ngoja nikuulize
"kwani wewe ni WM @NY ?? maana hapo mwisho ye ndo hua anaandikaga ushuzi huo wa kitoto FB

 
Nadhani ni mtangazaji mzuri ndo maana vipindi vyake vingi akishafanya kesho yake kina make headlines kwny magazeti kwa mfano alivyofanya juzi na Sumaye na kile kipindi alivyofanya S. Sitta
 
Bado ni mbunifu pamoja na mapungufu yote yanayoonekana. Kumbuka wanahabari wa TZ wengi wao hawana background ya yale wanayoyaandikia ..mhandishi wa habari za mahakamani unaweza kukuta ni yule aliyezoea kutangaza taarabu nk..hii ni changamoto kwani vijana wetu ngawila zinawafanya wahame taaluma. Waandishi wengi wa Habari hapa kwetu waliingia kwenye fani kufuatia ugumu wa maisha wakaanza kujifunza kuandika na baadae kujisomea kidogo kidogo mpaka wengine sasa ni maarufu
 
Nilikuwa jijini kuwasabahi ndugu na jamaa baada ya muda mrefu, nimebahatika kuona kipindi cha Q&A cha ITV kinachoenda kwa jina la dakika 45 kinachoongozwa na mtangazaji kijana kabisa bwana Suleiman Semunye.

Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.

Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.

Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.

Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.

Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.

Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!

Ndo ameanza ujira,usijali atazoea na pia atabadili nguo
 
Kwa ujumla kijana anajitahidi sana..anajua kuuliza maswali magumu, yuko focused na anatoa muda wa kutosha kwa anayeuliza kufafanua mada. In really akikaza buti atafika mbali sana. CNN wanamsubiria kwa hamu sana.
 
Nadhani ni mtangazaji mzuri ndo maana vipindi vyake vingi akishafanya kesho yake kina make headlines kwny magazeti kwa mfano alivyofanya juzi na Sumaye na kile kipindi alivyofanya S. Sitta

Hapa umeongea nadhani kawapunguzia kazi baadhi ya waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari....ya Sumaye ilikuwa ktk kila gazeti na soure ITV.
 
Mtoa mada ume-base kwenye lawama bila kuangalia hata chembe ya jitihada ambazo kijana ameonesha, mfano imeonekana dhahiri kuwa yeye ndiye aliyekuja na hiyo idea coz baada ya yeye kuanza ndipo muda mfupi kipindi kikawa established, that means kuwa bila yeye ITV isingekuwa na kipindi hico kwa hilo tu NAMPONGEZA!

Hayo mambo mengine atakomaa kadri ambavyo atazidi kufanya vipindi hivyo na kujifunza zaidil naamini hata Larry King hakuwa mzuri kwenye kipindi chake tangu siku ya kwanza ilichukua muda kuwa mtangazaji mahiri kwenye vipindi vyake!

Asante.
 
Nilikuwa jijini kuwasabahi ndugu na jamaa baada ya muda mrefu, nimebahatika kuona kipindi cha Q&A cha ITV kinachoenda kwa jina la dakika 45 kinachoongozwa na mtangazaji kijana kabisa bwana Suleiman Semunye.

Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.

Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.

Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.


Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.

Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.

Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!

Tunarudi pale pale tatizo letu wabongo ni kulaumu tu, tunasahau kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha, toa maoni yako nini unafikiri kiboreshwe nafikiri ungekuwa umemsaidia sana kuliko kukimbilia kulaumu. Kwanza rudi ulipotoka sikukuu zimeshaisha nenda kafanye kazi ukirudi tena mwakani kuja kuwasabahi jamaa zako utakuta mabadiliko chanya. wasalimie ukifika.
 
Tunarudi pale pale tatizo letu wabongo ni kulaumu tu, tunasahau kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha, toa maoni yako nini unafikiri kiboreshwe nafikiri ungekuwa umemsaidia sana kuliko kukimbilia kulaumu. Kwanza rudi ulipotoka sikukuu zimeshaisha nenda kafanye kazi ukirudi tena mwakani kuja kuwasabahi jamaa zako utakuta mabadiliko chanya. wasalimie ukifika.

Acha uzushi na ufinyu wa kufikiri.Mbona ameelezea vyema ,kasifia ,kabainisha mapungufu na katoa njia za kuboresha hayo mapungufu...Usikurupuke kuchangia mambo ili uonekane umechangia hoja ama uonekane unajua kukosoa.
 
Ndugu yangu Selemani Semunyu,

Kwanini huelewi, tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako, kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha, jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili ku-balance stories na kupata taarifa zingine.

Kila siku ni Wassira na hali ya kisiasa nchini, mara Nagu na Wawekezaji, mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais, 2015, INATOSHA... Leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CHADEMA, NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....
 
Back
Top Bottom