Gamba Jipya
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 401
- 80
Nilikuwa jijini kuwasabahi ndugu na jamaa baada ya muda mrefu, nimebahatika kuona kipindi cha Q&A cha ITV kinachoenda kwa jina la dakika 45 kinachoongozwa na mtangazaji kijana kabisa bwana Suleiman Semunye.
Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.
Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.
Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.
Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.
Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.
Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!
Kipindi hiki kina idea kama ya Hard Talk cha BBC kuanzia setting mpaka background music kwa hiyo nachelea kusema kuwa hii ni idea ya Semunyu na ITV, lakini kwa ujumla ni kipindi kizuri endapo kitatumika vema.
Tatizo nililoliona ni upeo mdogo sana wa mambo wa Bw. Semunye, huyu mtangazaji anaonekana kuwa na matatizo ya umakini na ufuatiliaji wa mambo, inaonekana dhahili huwa anafanya kipindi akiwa haja jitayarisha, hafanyi research na vilevile anamaswali yasiyokuwa na mashiko wala tija, mara nyingi wageni wake huwa wanamtumia na ku drive mijadala kutokana na ufahamu wake finyu wa baadhi ya mada zinazojadiliwa.
Vilevile costume designer wa ITV awe anamtayarishia huyu jamaa suti na mashati yanayo mtosha (look good, feel good), mara zote amekuwa akivaa suti mbili na zote oversized, na kiatu pair hiyo hiyo kwa vipindi vyote vitatu nilivyoangalia.
Najua expose ni tatizo kubwa sana kwa waandishi wengi wa habari wa Tanzania, lakini jaribuni kusoma magazeti ya nje na kuangalia tv za nje ili kupata exposure zaidi.
Nakutakia kazi njema kijana mwenzetu natumaini utajifunza na kuchukua changamoto, kazi njema.
Tuendelee kumkoma nyani giladi, moko moko!
Bwana selemani Semunyu, una mapungufu makubwa katika kuhoji wageni wako.
1. Unakuwa msikilizaji wa mgeni wakati wewe inabidi umchokonoe kwa maswali
2. Unawaogopa unaowahoji kwa kutowapa touchy questions
3. wageni wako wanakuhubiria badala ya kujibu maswali yako
You ned to make big improvement. jaribu kusikiliza hadr talk BBC utajifunza mengi.
Ndugu yangu Selemani Semunyu,
Kwanini huelewi, tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako, kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha, jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili ku-balance stories na kupata taarifa zingine.
Kila siku ni Wassira na hali ya kisiasa nchini, mara Nagu na Wawekezaji, mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais, 2015, INATOSHA... Leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CHADEMA, NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....
Tumeshuhudia kipindi cha ITV dakika 45 kila juma tatu saa3 usiku.
Wanahojiwa watu wenye mtazamo sawa tu!
Mawaziri wale wale wamekuwa wakijirudia na ahadi zile zile zisizo tekelezeka!
My concern:
Yako wapi mawazo mbadala? Je kipindi chenye upendeleo mkubwa kama hiki kwanini kisifungiwe?
Wadau mnasemaje?