Nenda mbugani usaidie kuvuna mpunga
Hamna kitu hapo labda ukafanye study tour kwenye mashine za mpunga na alizeti.
Hivi kweli mtu upo mkoani Igunga huko unawaza bata.?
kudadeki hizi reply zimenichekesha mimi pekeangu? 😂😂 ila waja mna majibu ya hovyo khaaaaNzega nayo mjini?
Barabarani kuna kuku wa kienyeji asubuhi asubuhi unapata soupHabarini ndugu.
Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri .
Natanguliza shukran.
INKINGA maeneo ya hosptal ya mission pamechangamka kidogoBora uje hata hapa ZIBA pamechangamka au nenda NKINGA ila sio hapo igunga
Anyway karibu IBOGOLERO unywe maziwa
Yah walau hapoINKINGA maeneo ya hosptal ya mission pamechangamka kidogo
umevaa gwanda rangi gani? Nipo hapa mlangoni nimepiga viatu black,suruali black,shart na miwani black nipokee. Nitakutambuaje?Siena Hotel karibu mkuu
mtu wa IBOLOGELO ila anajiita Peraminho yetu halafu chawa.Bora uje hata hapa ZIBA pamechangamka au nenda NKINGA ila sio hapo igunga
Anyway karibu IBOGOLERO unywe maziwa
Karibu mkuu kwenye uchawa nitoe kabisamtu wa IBOLOGELO ila anajiita Peraminho yetu halafu chawa.
Igunga kuna bar na groceries zilizochangamka tuHabarini ndugu.
Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri .
Natanguliza shukran.