KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,455
- 5,459
Buza
Hongera sanaHapakui ..
Mm Nina viwanja vingi Sana njia ya kibaha Ila sijafikiria kununua sijui kisemvule wala chanika.
Ila haraka haraka sehemu ya kununua kiwanja ni GOBA,MBEZI,KIGAMBONI
Kwanini mkuu??Utakuwa umerogwa wewe.
Ni kubwa in terms of density.Dar ndio mkoa mdogo kuliko yote tanzania haina ukubwa wowote
Mungu akinijaalia kufikisha umri wa kustaafu ndio nimepanga nikaishi kuleKatunze hako, ukiingia mjini sehemu unayofikia ndiyo huwa kipaumbele, nataka nami nitafute huko tuwe majirani [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kila raheri, sehemu tulivu kabisaMungu akinijaalia kufikisha umri wa kustaafu ndio nimepanga nikaishi kule
Nitakuja ndugu yangu unigawie na mie hata kwa bei nafuu nipate hata pakuweka vyumba viwili, najua hata mashamba utakuwa nayo huko.Hapakui ..
Mm Nina viwanja vingi Sana njia ya kibaha Ila sijafikiria kununua sijui kisemvule wala chanika.
Ila haraka haraka sehemu ya kununua kiwanja ni GOBA,MBEZI,KIGAMBONI
Yule jamaa alikuwa mwoga sanaTangu ameingia Magufuli na Sasa mama Samia,ikulu kumekuwa kwa kikuda Sana.
Imagine wameziba hadi kuta za fences ili mradi tu wapita njia wasione wale tausi mle ndani. Kule chini baharini ndiyo balaa,ukienda hata kwa kupotea njia utarukishwa kichura hadi makende yalalamike kwenye suruali kmmk.
Na pia Mtu huwezi kwenda au kuijua sehemu pasi na sbb!Dar kubwa sana, sidhani kama kuna mtu ashawahi kufika kila kitongoji...
Lengo mahsusi ilikuwa size kuhusu density hakuna ubishiNi kubwa in terms of density.
Hushangai ndio mkoa most populated licha ya udogo wake in size
Lupaso...Kwa MkapaZa jioni
Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.
Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?
Mbopo napasikia.
Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.
Kijichi.
Kivule.
Tunazungumzia mji mzee siyo mkoa, tofautishaDar ndio mkoa mdogo kuliko yote tanzania haina ukubwa wowote
Mhhh!!!,ni ngumu.Dar kubwa sana, sidhani kama kuna mtu ashawahi kufika kila kitongoji...
Ukubwa hapo si ktk maana ya eneo la mraba,bali ni ktk ishu ya Settlement aka Makazi ya watu.Dar ndio mkoa mdogo kuliko yote tanzania haina ukubwa wowote
Nilikuwa mzurulaji sana na hadi naondoka Dar miaka ya tisini baada ya kuishi hapo takribani miaka kumi nikiwa nina gari yangu binafsi bado sikuimaliza yote wakati huo. Leo hii Dar imepanuka sana siaminia kama kuna mtu anaweza kuja hapa na kutamka kuwa anaijua Dar yote hata angekuwa mzurulani kunizidi enzi zangu.Dar kubwa sana, sidhani kama kuna mtu ashawahi kufika kila kitongoji...
Mijadala ulianzia ukubwa wa eneo swala la mji pia ni kigezo kingineTunazungumzia mji mzee siyo mkoa, tofautisha