Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
Hujawahi kwenda mbagala weye?Kukaa kwangu kote temeke, Mtoni kwa aziz aly napaskia tu.
Hujawahi kwenda mbagala weye?Kukaa kwangu kote temeke, Mtoni kwa aziz aly napaskia tu.
Ww mku kuwa seriously bsSomewhere rivasaidi sijui ndo mnapaita hivyo?
Ndiyo.Hivi huko ushuani huwa wana wajumbe wa nyumba kumi na wao?
si ni mwanaoYule sio wang
wakishuuuuuaWakati niko primary nilikua na rafiki baba yake alikua anafanya kazi ikulu na walikua wanaishi humo ndani.
Tulikua tunaenda sometimes Ila getini unakaguliwa mno utafikiri umebeba bomu.
Tangu linisi ni mwanao
Tangu ameingia Magufuli na Sasa mama Samia,ikulu kumekuwa kwa kikuda Sana.Hongera san nataman kuingia mule ndani
Ushuani vichwa vya kuku na vishtobe hakuna. Wa kienyeji akienda huko anapata shida Sana.Hahaaa tunaona hapana amsha amsha
kama hukunenepa ikulu huku uraiani kwa mtogole sahau 😂 😂Si ningenenepa😂
Kwa mtogole ndio mitaa yangu
Duh bora umenipnya mapema saNTangu ameingia Magufuli na Sasa mama Samia,ikulu kumekuwa kwa kikuda Sana.
Imagine wameziba hadi kuta za fences ili mradi tu wapita njia wasione wale tausi mle ndani. Kule chini baharini ndiyo balaa,ukienda hata kwa kupotea njia utarukishwa kichura hadi makende yalalamike kwenye suruali.
mnajua wenyeweTangu lini
Bora tu kubaki zetu uswazi, huko ushuani patatukondesha tuUshuani vichwa vya kuku na vishtobe hakuna. Wa kienyeji akienda huko anapata shida Sana.
Komaaamnajua wenyewe
Na Sasa hivi nipo zamu,hapa Nina hasira za mamaako mdogo. Wa uswahilini Ukijichanga nakupigisha kichura chura hadi kichwa kiitike Kama Nazi kavu(mbaya).Nipigwe teke wewe sina ubav ukute askari wa zamu Satoh Hirosh kanyimwa unyumba nitauliwa
Definitely sipajui mkuu, ndo pande zipi hizo?Ww mku kuwa seriously bs
Aha bab mmi naenda kulal sitak ukorof na weweNa Sasa hivi nipo zamu,hapa Nina hasira za mamaako mdogo. Wa uswahilini Ukijichanga nakupigisha kichura chura hadi kichwa kiitike Kama Nazi kavu(mbaya).
Ubungo unapajuaDefinitely sipajui mkuu, ndo pande zipi hizo?
Wazee mnaungana na watoto kuendesha magari na bembea.Fun city sijawahi kwenda...
Hivi hata michezo ya wazee kama sisi ipo? Au ni ya watoto tu