Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.

Mbopo nimefka king'ongo ndo nliopomaliza secondary kijichi nimefka hadi kivule nimefka mpka kibeberu huko ndani ndani

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.
Sijawahi kuingia ikulu ya Dar es Salaam.
 
Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.
Kuna hii naisikia inaitwa Zingiziwa
 
Mimi nimefika maeneo mengi sana ila sijawahi imaliza Dar... last time maeneo niliyokuwa sijawahi fika ndani ya hii miaka miwili ni Chanika,Vikindu na Kisalawe 2 ndio nikajua Dar ni kubwa na kila eneo limejengwa..
 
Pia sijafika kalege, vingunguti (machinjioni) na Buguruni (mqundu buku)
 
Chamazi nako Nmefika mwaka Jana TU
Kabla ya hapo nilikua napaskia TU[emoji4]
 
Back
Top Bottom