Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,564
- 109,103
Kisemvule siyo Dar, ni wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.Nimezaliwa Temeke, sijawahi kufika Kisemvule
Kisemvule siyo Dar, ni wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.Nimezaliwa Temeke, sijawahi kufika Kisemvule
Wewe mkimbiza mwenye lazima upite Kata zote.Mimi nimefika kata zote. Dar es salaam.
Kwa nini Nifike Na Sina Issue Huko Hakuna Ushua Wowote HapaWakishua wewe
Kuna Jamaa Yangu Kazaliwa Dar Na Hajawahi toka Dar Anasema Hajawahi fika Buza Na Hata gari za Kwenda Huko Hazijui vizuri anaona Tu zinapita BarabaraniHata uwe umezaliwa na kulelewa Dar kuna maeneo mpaka unakufa hautakuwa umeenda
Kwa mfano wakazi wa Dar tuliozaliwa na kukulia upande wa Kaskazini wa Dar kuna maeneo mengine ya upande wa Kusini mwa Dar hatujawahi kufika japo tunayasikia
Sehemu ukiwa hauna mishe nayo ni ngumu kufika.
Zamani nikiwa Mdogo ilikuwa lazima twende sabasaba, nilipokuwa nikaona ujinga mtupu.Kwa nini Nifike Na Sina Issue Huko Hakuna Ushua Wowote Hapa
Kule ukinunua basi hela yako ni kama haitorushisha faida kubwaKama bei nzuri unanunua kama akiba au kitega uchumi, lakini kuishi kule mmm hata mie napendelea njia ya huku Moro lakini huko labda shamba, ila Tz unaishi popote hata kinyonge tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kibaha ndiyo kwenyeweKule ukinunua basi hela yako ni kama haitorushisha faida kubwa
Kibaha kila siku bei inaongezeka
Morogoro road ni sehemu sahihi ya kununua kiwanja nahisi Kutokana na Barabara ile kubwa ndo inaikuza kibaha,mlandizi ,chalinze ardhi Ina bei Sana .
Hongera..Kariakoo na Mlimani City
Utakuwa umerogwa wewe.Nmeiahi dar Makumbusho miaka 8 sijawahi kufika kariakoo
Ila wavuvi lazima aifahamu atakuwa anapita akienda coco beachZamani nikiwa Mdogo ilikuwa lazima twende sabasaba, nilipokuwa nikaona ujinga mtupu.
Miaka 7 iliyopita nilikuwa na kampuni anafanya nayo kazi ilikuwa lazima twende sabasaba kama study tour, tangu mwaka huo mpaka leo sijakanyaga Saba saba.
Mshkaji wangu mmoja very close amekulia Haile selasie road oysterbay lakini mpaka leo hana mpango wala hajawahi kuingia wavuvi camp.
Kila mtu ana priorities zake.
Machimbo kafika kweli ,,,Kuna Jamaa Yangu Kazaliwa Dar Na Hajawahi toka Dar Anasema Hajawahi fika Buza Na Hata gari za Kwenda Huko Hazijui vizuri anaona Tu zinapita Barabarani
Tutafanya liwe zizi lakufugia mifugo maana kumetulia sanaMorogoro road ni sehemu sahihi ya kununua kiwanja nahisi Kutokana na Barabara ile kubwa ndo inaikuza kibaha,mlandizi ,chalinze ardhi Ina bei Sana .
Tofauti na njia ya lindi na huko kisarawe namaanisha chanika..,,kunaendelea kwa mbinde sana
Ni wengi tu wala si yeye pekeyakeKuna Jamaa Yangu Kazaliwa Dar Na Hajawahi toka Dar Anasema Hajawahi fika Buza Na Hata gari za Kwenda Huko Hazijui vizuri anaona Tu zinapita Barabarani
Yuko sahihi huwezi kwenda sehemu hauna mishe nayo au hauna tukio la kukupelekaKuna Jamaa Yangu Kazaliwa Dar Na Hajawahi toka Dar Anasema Hajawahi fika Buza Na Hata gari za Kwenda Huko Hazijui vizuri anaona Tu zinapita Barabarani
Hapakui ..Tutafanya liwe zizi lakufugia mifugo maana kumetulia sana
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Tumesema kufika sio kupafahamuDar Hakuna nisipo pafahamu