Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Nmefanya biashara k'koo mwaka wa 13 Sasa ila Kuna mitaa ndani ya k'koo bado siijui vizuri

Kuna mtaa flan nyuma ya bigBon
wanauza spea used za magari

Kuna vibanda vdg vdg vimebanana Sana havina majina Wala namba nilipelekwa kuonyeshwa spea

AISEE niliingizwa umo nikasahau nilikotokea ikabd Kupiga Simu jamaa anifate[emoji28]
 
Dar ina mitaa mingi sana.
Kuimaliza yote ni shughuri.
 
Nmefanya biashara k'koo mwaka wa 13 Sasa ila Kuna mitaa ndani ya k'koo bado siijui vizuri

Kuna mtaa flan nyuma ya bigBon
wanauza spea used za magari

Kuna vibanda vdg vdg vimebanana Sana havina majina Wala namba nilipelekwa kuonyeshwa spea

AISEE niliingizwa umo nikasahau nilikotokea ikabd Kupiga Simu jamaa anifate[emoji28]
Wanapaita mnadani ...binafsi kkoo naijua tokea 2003 sababu mzee alikuwa na biashara kkoo mtaa wa nyamwezi hii ilinifanya niijue kkoo nje ndani yaani leo hii ukiniambia upo mtaa wa swahili na omar londo najua exactly upo wapi

Kifupi kkoo naijua almost yote hadi kuna mtaa unaitwa kariakoo ukiachana na soko unaujua?
 
Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.
Mimi sabasaba nimefika leo tena kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
 
Tandale,vitongoji vya vingi vya ubungo,mburahati,kigogo,mwananyamala,kinondoni panasubiri Sana kwa Buza kwa uzuri wa mijengo na barabara. Buza ni kuzuri hayo maeneo hayatii pua.
Tatizo kwa mpalange ni nyuma ya mgongo wa mtu.MEJA KUNTA AMESABABISHA YOTE HAYA.Kwa mpalange kuko kuwili mkuu.
 
Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.
Mbudya
 
Wanapaita mnadani ...binafsi kkoo naijua tokea 2003 sababu mzee alikuwa na biashara kkoo mtaa wa nyamwezi hii ilinifanya niijue kkoo nje ndani yaani leo hii ukiniambia upo mtaa wa swahili na omar londo najua exactly upo wapi

Kifupi kkoo naijua almost yote hadi kuna mtaa unaitwa kariakoo ukiachana na soko unaujua?
Aisee utakua mtembeaji sana[emoji3]
Hiyo k'koo nyngn ndo iko wapi Aisee
 
Back
Top Bottom