Tandale nimefika mara nyingi tu marehemu babu alikuwa akiishi kuleWatu wanapachukulia kama Tandale ,,,kwa Tumbo
Tandale nimefika mara nyingi tu marehemu babu alikuwa akiishi kuleWatu wanapachukulia kama Tandale ,,,kwa Tumbo
Kwa eneo, Dar ni ndogo sana..!! Ndo mkoa pekee ambao kutoka makao makuu ya wilaya zake zote, moja kwenda nyingine, hukatizi msitu/misitu. Embu waza mtu anayetoka wilaya ya Songea mjini anakwenda Mbinga au Tunduru...!! Au mtu anatoka Kaliuwa anakwenda Urambo..!!Dar kubwa sana, sidhani kama kuna mtu ashawahi kufika kila kitongoji...
Atakuwa Mwalimu Muganyizi wa DSSio muhaya huyu lekcharaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa eneo, Dar ni ndogo sana..!! Ndo mkoa pekee ambao kutoka makao makuu ya wilaya zake zote, moja kwenda nyingine, hukatizi msitu/misitu. Embu waza mtu anayetoka wilaya ya Songea mjini anakwenda Mbinga au Tunduru...!! Au mtu anatoka Kaliuwa anakwenda Urambo..!!
Ungeenda hadi zingziwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila usafiri mwingi sana kwa mara yakwanza nimefika juzi. Japo sikufika mwisho kabisa.
Gari aina ipi?Huyo ni sawa na Professor Severine Rugumamu wa DS pale UDSM aliyesema ukiona gari lake Manzese ukaripoti Polisi litakuwa limeibiwa tu hilo
Stendi ya Magufuri😁Za jioni
Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.
Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?
Mbopo napasikia.
Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.
Kijichi.
Kivule.
Mimi ni mmoja wa wasomaji.
Nimeelewa kuwa wewe ni muongo.
Mshikaji ndio yuko sahihi.
Kwani kisemvule ni Dar?Nimezaliwa Temeke, sijawahi kufika Kisemvule
Hilo jina nilikuwa nikiliona kwenya madaladala nacheka, nilieenda kumuona hafiki huko ila nilimuuliza pia [emoji23][emoji23][emoji23] siku nyingine mitafika, ila kuna mihogo huko balaa!Ungeenda hadi zingziwa
Sikuwa hata na wazo hilo labda sahizi umenikumbushaUmeenda kucheki kiwanja nini
vinauzwa bei chee sana kule
Yeah kama unataka kununua kule ni sahihiSikuwa hata na wazo hilo labda sahizi umenikumbusha
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
YesKwani kisemvule ni Dar?
Kisemvule ni wilaya ya mkuranga mkoa wa Pwani,mwenye uzi kazungumzia Dar.
Zingiziwa kuna kaplot kangu kule, watu wanajenga sana kuleUngeenda hadi zingziwa
Kama bei nzuri unanunua kama akiba au kitega uchumi, lakini kuishi kule mmm hata mie napendelea njia ya huku Moro lakini huko labda shamba, ila Tz unaishi popote hata kinyonge tu [emoji23][emoji23][emoji23]Yeah kama unataka kununua kule ni sahihi
Ingawa binafsi napendelea njia hii ya kibaha zaidi
Katunze hako, ukiingia mjini sehemu unayofikia ndiyo huwa kipaumbele, nataka nami nitafute huko tuwe majirani [emoji23][emoji23][emoji23]Zingiziwa kuna kaplot kangu kule, watu wanajenga sana kule